Nikajua ni matema.View attachment 2543080
Kyela Vijijini
Tanzania nasi ndiyo tunakimbilia huko, InshaAllah tutafika 🤲View attachment 2543080
Kyela Vijijini
Awwwwwwwwww 😍😍View attachment 2543214
Bila kutumia Piko kuficha Mvi zangu za Uzee, saivi ningekuwa nimestaafishwa kibarua kwa lazima 😜
Hello Thursday 🥂
Zee la mchongoView attachment 2543214
Bila kutumia Piko kuficha Mvi zangu za Uzee, saivi ningekuwa nimestaafishwa kibarua kwa lazima
Hello Thursday![]()
UmeanzaAwwwwwwwwww
Weee babuu kumbe ndio uko m hensamu hivi?? Unaonekana ni mtrrraamooo balaa
Hilo tabasamu ssaassaaa ni hatrareeeeeeeee!
Uko vizure sana granpah hongeraaaa!!
🤣!
Langu jicho!
Wige babu yuko vyediii buana wee huoni hapo??
!
Niwache nimsifie granpah miee!!
Jitoe ufahamuWigee Humu siwawezi mieee nishashindwaga mwenzio!!
Tena hao wanaojiita wazee ndio kabisaaaaa nawaogopa kama ukoma![]()
Jf nishashindwaga kitrambo mieee nipo napambana naharee yangu tyuuuuu!!🙌Jitoe ufahamu
Umetoka kusifia eti
Ana sixpack ya kula manumbu
Shauri yako
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Mambo mazuri mazuri NkamuView attachment 2543112
hela zangu zinapoishia🥹
Njoo boda hapaJf nishashindwaga kitrambo mieee nipo napambana naharee yangu tyuuuuu!!![]()
Mie Nipo mbaree sana Wigee!
Mkuu Wigelekelo Babu yenu umri umeenda, imagine hiyo picha ni ya mwaka 1979 wakati natoka Uganda vitani 🤪
Wavuvi haramuMkuu Wigelekelo Babu yenu umri umeenda, imagine hiyo picha ni ya mwaka 1979 wakati natoka Uganda vitani![]()