Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji849][emoji849]
1678221269008.jpg
 
Unapita hivi[emoji125],,

Hila umri bhana,tukiwa na 23yrs tunasema tupo na 32 yrs[emoji23][emoji23][emoji23]

Ngoja ugonge 32 yrs[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]


Ngoja nifikishe 25 kwanzaView attachment 2541137
Presha inapanda, presha inashuka. Ukijaribu kucompare umri na achievements, unaweza ukapiga ukunga peke yako barabarani 😅😅😅
 
Presha inapanda, presha inashuka. Ukijaribu kucompare umri na achievements, unaweza ukapiga ukunga peke yako barabarani [emoji28][emoji28][emoji28]
Sema tu tunajua kujofariji[emoji16][emoji16][emoji16],

Nina aunt yupo na 32yrs ana kazi nzuri nyumba nzuri na mtoto pia anae, kipindi yupo na 28 alisema hataki kusikia kuhusu ndoa[emoji16][emoji16]

Now ni muumin wa kawe kusaka ndoa,

Hasira tu sijui shida nini[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema tu tunajua kujofariji[emoji16][emoji16][emoji16],

Nina aunt yupo na 32yrs ana kazi nzuri nyumba nzuri na mtoto pia anae, kipindi yupo na 28 alisema hataki kusikia kuhusu ndoa[emoji16][emoji16]

Now ni muumin wa kawe kusaka ndoa,

Hasira tu sijui shida nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Haya maisha hata uwe na Mali kiasi gani, kuna point utafika utahitaji life partner, pia utahitaji family. Maana sio muda wote tunahitaji kushauriwa, sometime unahitaji mtu wa kukuhug, then akwambie everything will be okay. Mtu ambae haendi kokote, muda wake ni wako.
 
Sema tu tunajua kujofariji[emoji16][emoji16][emoji16],

Nina aunt yupo na 32yrs ana kazi nzuri nyumba nzuri na mtoto pia anae, kipindi yupo na 28 alisema hataki kusikia kuhusu ndoa[emoji16][emoji16]

Now ni muumin wa kawe kusaka ndoa,

Hasira tu sijui shida nini[emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu atusaidie 😀😀kwakweli tukiwa mabint Bado
 
Back
Top Bottom