Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Sio tusio kuwa wazuri Kwamba ndo hatutakiw kuolewa🙁
Sio tusio kuwa wazuri Kwamba ndo hatutakiw kuolewa🙁
Aliyetengeneza hiyo meme, alikuwa anatupa dongo somewhere. Soma tena vzr 😅😅😅Sio tusio kuwa wazuri Kwamba ndo hatutakiw kuolewa🙁
Nanyi msiwe nyuma nyuma km mabanda ya nyumba kubwaMungu atusaidie 😀😀kwakweli tukiwa mabint Bado
Ngoja nirudie rudie amenikatisha tamaa 😀Aliyetengeneza hiyo meme, alikuwa anatupa dongo somewhere. Soma tena vzr 😅😅😅
Hahha tuko nyumaNanyi msiwe nyuma nyuma km mabanda ya nyumba kubwa
Hataki watoto wale nyasi 😂😂😂😂Hahha tuko nyuma
Mm Mungu anisaidie bi Mkubwa nae sikuelew naona anataka ale mpunga sio Kwa madarasa haya anayonipa kilasiku 😂😂😂nikikaacpekeyng nacheka sana
Sawaaa 😅😅Ngoja nirudie rudie amenikatisha tamaa 😀
Sasa hapo unasubiri nn tena rafiki yanguYaani 😂😂anasema namchelewesha kupata wajukuu
Bi mkubwa anaona binti yake huchangamki. Fanya kweli, mwaka wako huu😅😅Hahha tuko nyuma
Mm Mungu anisaidie bi Mkubwa nae sikuelew naona anataka ale mpunga sio Kwa madarasa haya anayonipa kilasiku 😂😂😂nikikaacpekeyng nacheka sana
Bi Mkubwa ameongea ukweli, na alikuwa anajaribu kusend msg kwako. I hope ulimuelewa 😅😅😅Kilawiki anaamka na mada mpya😀jana tulikuwa tunqzungumzia ndoa kuvunjika sana
Ngoja nimnukuu ya Jana anasema
"Waolewaji wa sikuhiz nawashangaa sana anataka kilakitu mwanaume afanye mwanaume amjali ampemde Sana
Akusikilize wew tu😀
Akirudi kazin kilasiku aje na zawadi
Awape Hela wazazi wake
Amnunulie nguozote navocha
Awajali nduguzake
Asimamie ujenz wa nyumbayenu 😀
Utampata wapi wa hivo Kwan yeye Hana kwao kwenye ishirin mnayotaka mtapata mawili tu au matatu mkikosa hayo mengine ndo amkubali😂😂😂
Aisee
Nimemwambia akae Kwa kutulia Bado sijakua 😀Bi Mkubwa ameongea ukweli, na alikuwa anajaribu kusend msg kwako. I hope ulimuelewa 😅😅😅
Acha basi. Mama anakujua vizuri sana mwanae. Anaona wewe upo tayari, unafaa kuwekwa ndani 😅😅😅Nimemwambia akae Kwa kutulia Bado sijakua 😀
Mambo ya. Ndoa ni mazito mno miaka hii ngoja tuone mwak ujao
Najiona Bado Bado japo anaongeaga ukweli😂Acha basi. Mama anakujua vizuri sana mwanae. Anaona wewe upo tayari, unafaa kuwekwa ndani 😅😅😅
hizi za ushungi ndo zenyewe sasaHappy women's day😍View attachment 2541592
Ujue unajichelewesha bure kufata ushauri wa bimkubwa... Shauri yakoHappy women's day😍View attachment 2541592