National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,198
Hii ndiyo yenyewe sasa, kwa diet AnkolAunt Bantu Lady .. π π View attachment 2526000
Alafu kuna za mtindo huu ππHii ndiyo yenyewe sasa, kwa diet Ankol
Unajua nini Ankol, nilichogundua ni kuipamba diet foods mpaka uone ni kama junk food tu unayoila πππππ
Chakula ukikipamba kinavutia hata kula.. ona kama hikiUnajua nini Ankol, nilichogundua ni kuipamba diet foods mpaka uone ni kama junk food tu unayoila πππππ
Pole Ankol bangi nayo ilichangia ππππππ wewe unafanyaje? Picha yako inatoweka kabisa jamani. Au hili lisimu?Aunt Bantu Lady jana nikalala bila bila π π π
Kesho nayo siku...ππππView attachment 2526047
Kama unatumia bontal inawezekanana aunt π π π π kuna watu hata wakifuta picha zao siku nzima huwa nikirudi nazikuta tu..mie natumia bontel na browser ya Chrome situmii appPole Ankol bangi nayo ilichangia ππππππ wewe unafanyaje? Picha yako inatiweka kabisa jamani. Au hili lisimu?
Nilikumiss jamaniKwanza nifundishe ili nikifuta isionekane, hata mtu akiwa amequote.
Maana inabaki hata nikifuta namimi sitaki
Mwalimu wangu Wigelekelo hayupo...
Mimi zaidi na tunapishana sana kipenzi Valentina Uko poa lakini mrembo wangu. πππ

Niko poa dear wangu japo Jack Palladino kanipa kibuti kahamia kwingine

Vitunguu, karoti, hoho, tangawizi, swaumu, nyanya, giligilani na nazi ukipendaNataka nikaange kuku nitie viungo gani?![]()

Nakupa Ankol wetu National Anthem huyu mkaka poa kabisa. Hana mambo mengi, mtulivu kabisa ushindwe wewe πππππ ukitaka wakaka wa Kikurya wapo pia niwewe tu dear.Niko poa dear wangu japo Jack Palladino kanipa kibuti kahamia kwingine
Hebu nipe kaka ako anitulize moyo
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Babe nimeibiwa na nani?π³Niko poa dear wangu japo Jack Palladino kanipa kibuti kahamia kwingine
Hebu nipe kaka ako anitulize moyo
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
National Anthem njoo ujionee huku....πππππNakupa Ankol wetu National Anthem huyu mkaka poa kabisa. Hana mambo mengi, mtulivu kabisa ushindwe wewe πππππ ukitaka wakaka wa Kikurya wapo pia niwewe tu dear.
π π π aunt hunitaki niishi dunia , unanipa mtu wa watu, na mtu wake nasikia anatembea na bindukiNakupa Ankol wetu National Anthem huyu mkaka poa kabisa. Hana mambo mengi, mtulivu kabisa ushindwe wewe πππππ ukitaka wakaka wa Kikurya wapo pia niwewe tu dear.
Jamaa ake ana binduki, sitaki magomvi mie .. acha niendelee kujitunza mke wangu anikute brand new ππππNational Anthem njoo ujionee huku....πππππ
Hata wewe nitakupa mchumba muda si mrefu subiri. ππππNational Anthem njoo ujionee huku....πππππ
Watakupoteza chap kwa harakaπ π π aunt hunitaki niishi dunia , unanipa mtu wa watu, na mtu wake nasikia anatembea na binduki