Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_0601.jpg

Nimeweka simba
Mbili na tangawizi na chumvi tu sijaunguza leo [mention]Jack Palladino [/mention] unaona leo
Nimejitaid
 
Nakuona uko mbioni kuanza na Dr National Anthem nitabaki mimi tu nayeona uvivu kumalizia PHD.
😅😅😅 kwanza nimechelewa sana na roho inaniuma sana paka mda huu kutokuwa nayo.. mwaka huu naanza mchakato.. kama majukumu hayakubani piga aunt ... sema kingine mie napenda kusoma soma na kujifunza mambo mapya.. na hiyo ni wish toka utotoni nipo na baba nilikuwa namuambia nataka hiyo so acha nitimize ndoto
 
😅😅😅 kwanza nimechelewa sana na roho inaniuma sana paka mda huu kutokuwa nayo.. mwaka huu naanza mchakato.. kama majukumu hayakubani piga aunt ... sema kingine mie napenda kusoma soma na kujifunza mambo mapya.. na hiyo ni wish toka utotoni nipo na baba nilikuwa namuambia nataka hiyo so acha nitimize ndoto
Ahahahahah daaah life is not fair....
 
Back
Top Bottom