Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230203_203555.jpg
 
Nami ndio naangalia hiki kipindi hapa, sasa wakati kinaanza nimekaa na mtu ananiambia huyo Mwijaku hapo unavomuona ana MBA yani ndio nimejua leo, nimeshangaa sana

Af ni mchafu by nature mm nishakutana nae sio mara moja
 
🎶Ooh papaaa kwenye moyo wangu ushaweka alama na chataa kukupenda wewe sina shakaa
Mmhh! Kwenye akili yangu niwewe peke yako umenikaaa
Kwengine roho inakataa ooh!
Moyo umekuamini

Maana huniishi akiliniiii
Sijui umenipa niniiii
Mmh! Au umenitupia kajini
Ndiomana umeniwin
Maana huniishi akiliniiii .

Imani nilonayooo imetengenezwa nawewe huko nyuma waliniangusha ukaniokota ukanipangusaa
Upendo tulonao umetengenezwa namimi nawewe
Penzi tamuu🤸🎼




Usiku mwema wapendwa na muwe na weekend njema✌️
 
Ooh papaaa kwenye moyo wangu ushaweka alama na chataa kukupenda wewe sina shakaa
Mmhh! Kwenye akili yangu niwewe peke yako umenikaaa
Kwengine roho inakataa ooh!
Moyo umekuamini
Maana huniishi akiliniiii
Sijui umenipa niniiii
Mmh! Au umenitupia kajini
Ndiomana umeniwin
Maana huniishi akiliniiii .
Imani nilonayooo imetengenezwa nawewe huko nyuma waliniangusha ukaniokota ukanipangusaa
Upendo tulonao umetengenezwa namimi nawewe
Penzi tamuu




Usiku mwema wapendwa na muwe na weekend njema
Kwamba mjeshi au mwingine anapewa hio mistari hio Antonnia
 
Ooh papaaa kwenye moyo wangu ushaweka alama na chataa kukupenda wewe sina shakaa
Mmhh! Kwenye akili yangu niwewe peke yako umenikaaa
Kwengine roho inakataa ooh!
Moyo umekuamini
Maana huniishi akiliniiii
Sijui umenipa niniiii
Mmh! Au umenitupia kajini
Ndiomana umeniwin
Maana huniishi akiliniiii .
Imani nilonayooo imetengenezwa nawewe huko nyuma waliniangusha ukaniokota ukanipangusaa
Upendo tulonao umetengenezwa namimi nawewe
Penzi tamuu




Usiku mwema wapendwa na muwe na weekend njema
Kupatwa kwa Tonia

Lile zee la mchongo

Nalo lilitoa singo

Nawazoom tu

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom