kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
😂😂😂Hana ubavu huo kijana kafa kaoza
Ataachaje ile lips aunt?
Bombo clut mtoto ana plate namba ya kutoshaMzee wa kupambania
Poor Brain
mzabzab
View attachment 2498943... ebu imagine asubuhi umetengewa.. nguvu ya kwenda kanisani inatoka wapi
View attachment 2498943
ERoni shemeji hajambooo
Umetisha km njaaO level sikuwahi na date na mwanafunzi. Mchumba angu alikua mwanachuo.
Advance ndo nilikua na wachumba wawili wanafunzi, m1 tulikua tunasoma tuition, mwingne wa mtaan kwetu
Na wengine wenye majukumi yao.
nilikua nabadilisha mboo tyuuh









Nawe piaMungu awabariki usiku huu mlale salama muamke salama mkilala msisahau kuomba![]()
Kwa ma DRs.








Wahindi sio watu wazuri yaani hapa nishaanza kuota kibiongo😂Kumekuchaaaaa 🗣️🗣️🗣️🗣️ amkenii amkenii wapi mamaa Antonnia kipenzi cha babu kijana Grahams
Wapi mamaa Ms cee roho yangu mie
Natuma salamu za asubuhi kwako Tinsley nyonga mkalia ini wangu.
Uhali gani Wigelekelo hapo tunduma mpe salamu Saint Anne mwambie kesho niko mbeya.
Wapi boss kubwa Mjep anayemuweka mjini mngoni mwenye matashtiti yake mjini cocastic
Kamaa nakuona mzee wa chaputa Carrasco putin unavomkumbatia mpenzi wako jamaa 😂
Popote ulipo National Anthem kijana anayeishi mjini kwa kufuga na kuuza kasuku
Salamu za asubuhi pia zikufikie kwako doctor wa mifupa hapo moi myoyambendi
Wapi mamaa Lenie kazi mlima mshahara korongo 😂 chezea wahindi
Una raha gani unalala mpaka muda huu na uko kwenye nyumba ya kupanga amkaa ukapambane! 😂 Sio kwako hpo
😂 Mkiambiwa mjiajiri hamutaki sasa angalia ujana wako wote unaumalizia kwa muhindi si ufungue hata ka pub 🍻 niwe nakuja kukuungishaWahindi sio watu wazuri yaani hapa nishaanza kuota kibiongo😂
Nipee mtaji basi best angu kabla muhindi hajaniua.😂 Mkiambiwa mjiajiri hamutaki sasa angalia ujana wako wote unaumalizia kwa muhindi si ufungue hata ka pub 🍻 niwe nakuja kukuungisha
Unahitaji nini ili utimize ndoto zako za kujiajiri na ni shughuli gani hiyo.Nipee mtaji basi best angu kabla muhindi hajaniua.
Maana sio poa
Namshukuru Mungu vipi wewe ?Salama tins vp waionaje hali yako chaupole wangu.