Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Rule#8[emoji4]
Screenshot_20230123_150846_Instagram.jpg
 
Au kwa mama Swaumu wa mihogo [emoji16][emoji1787]!
Mwayaaa mama swaumuu
Alinipaga offa ya mihogo wee nzima buree, anasemajee hufanani na kula mihogo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angejuaa uswahili na uswazi ndo napendaa, kwan nimemic miguu ya kuku na utumboo. Kuna chimbo hiloo yule Kaka anajua kitengenezaa, ukila inalia "kocho kocho"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu bado nadaiwaa, na hela unayo wee unipe nikalipee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em nisepeee hapaa, mambo yashakua mengi..

Uwiiiiiiiih
Nisubiri tuongozane shosssss mi mwenyewe 🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️ Ndiomana sikuhizi pananiboa Kweli yani!
Ndugu mjumbe kiduku mpapaso ngoja patulieeee kwanza Nilikuepooooo🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Nisubiri tuongozane shosssss mi mwenyewe [emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214] Ndiomana sikuhizi pananiboa Kweli yani!
Ndugu mjumbe kiduku mpapaso ngoja patulieeee kwanza [emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]
Baadae mwayaaaa. [emoji137][emoji137]
 
Back
Top Bottom