kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
Embu tubariki asubuhi yetu ienda salama BeverlynHuyo mchokozi mchokozi tu![]()
Kwanza tumeni picha tuwaone
Embu tubariki asubuhi yetu ienda salama BeverlynHuyo mchokozi mchokozi tu![]()
Kwanza tumeni picha tuwaone
Ngoja ni mwite mkaguzi mkuu atoe mfano Wigelekelo toa mfanoNionyeshe mfano
Nasubiri 😄Ngoja ni mwite mkaguzi mkuu atoe mfano Wigelekelo toa mfano
Kijana ujambo
Baba YollyKijana ujambo
Poa poa mzima wewe... Uzima upomambo
Mi niko njema kabisa sijui wewe.. pande hizoKijana ujambo
A little bit sick na wewePoa poa mzima wewe... Uzima upo
Shida nini tena...? Mi am finelyA little bit sick na wewe
Toothache .. okay niceShida nini tena...? Mi am finely
PoleeeeeeToothache .. okay nice
ThanksPoleeeeee
Aririiiiiiiiiiii piga kelele kwa boss akeeeee, weuweeeeeeeeeeeeeeeKumekuchaaaaaamkenii amkenii wapi mamaa Antonnia kipenzi cha babu kijana Grahams
Wapi mamaa Ms cee roho yangu mie
Natuma salamu za asubuhi kwako Tinsley nyonga mkalia ini wangu.
Uhali gani Wigelekelo hapo tunduma mpe salamu Saint Anne mwambie kesho niko mbeya.
Wapi boss kubwa Mjep anayemuweka mjini mngoni mwenye matashtiti yake mjini cocastic
Kamaa nakuona mzee wa chaputa Carrasco putin unavomkumbatia mpenzi wako jamaa
Popote ulipo National Anthem kijana anayeishi mjini kwa kufuga na kuuza kasuku
Salamu za asubuhi pia zikufikie kwako doctor wa mifupa hapo moi myoyambendi
Wapi mamaa Lenie kazi mlima mshahara korongochezea wahindi
Una raha gani unalala mpaka muda huu na uko kwenye nyumba ya kupanga amkaa ukapambane!Sio kwako hpo

Ndiyo