Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Moyo huwa unauma Sana kusikia Baba Jane bye bye.

Hapo unatamani walau siku zirudi Nyuma uweze kurekebisha makosa lakini ndiyo haiwezekani tena.

Tena unakuta sijui ulikuwa humu hudumii sawasawa huyo mrembo baada ya kuachana nawe ndiyo unakuta Shape ndiyo linatoka hasa mtoto amenawiri, ngozi laini kama amepakwa asali Kutoka Misri ya Kale 🤗
Anabaki ningejua 🤔 ila ndiyo inakuwa, Too late.
But watu huwa hatujifunzi, hata ikutokee mara 3 bado utarudia na kubaki kujuta.
Mimi nimeshajifunza, kama mtu anavikosa vya kuweza kurekebishika, sitoki hapo.
Nisije kuwa majuto ni mjukuu...
 
JF sio shida zangu, nimekumbukaa mbaba wa NSSF.

Zee zima ujana wake ale na wengine, uzee aumalizie kwanguu, akuuuuuh aniwaacheeeee.
Etiii oooh utafauduu pesa, wee mbna hizo pesaa hufauduu hadi unitafute mie.

Ukimwi wa utotoni nani anautakaaaaa??
Daaah una maneno balaaa🤣
 
Anabaki ningejua 🤔 ila ndiyo inakuwa, Too late.
But watu huwa hatujifunzi, hata ikutokee mara 3 bado utarudia na kubaki kujuta.
Mimi nimeshajifunza, kama mtu anavikosa vya kuweza kurekebishika, sitoki hapo.
Nisije kuwa majuto ni mjukuu...
Of course kama Kuna nafasi ya kumbadirisha you go for him/her.

Hakuna Mkamilifu. Bibi yenu mwenyewe hadi kufikia miaka yote hii tumeishi pamoja amevumilia mengi.

Tena imagine miaka yetu Ile hakukuwa na maradhi mengi kama ya Sasa sijui HIV, so alivumilia mengi kwa kweli 🤸🥰
 
Anabaki ningejua 🤔 ila ndiyo inakuwa, Too late.
But watu huwa hatujifunzi, hata ikutokee mara 3 bado utarudia na kubaki kujuta.
Mimi nimeshajifunza, kama mtu anavikosa vya kuweza kurekebishika, sitoki hapo.
Nisije kuwa majuto ni mjukuu...
Hahahaaa...Nimechekaaaaa😂😂😂🤣🤣🤣🤣! Apambane naharee yakee no way!
 
Back
Top Bottom