Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pale gerezani jioni Kuna kugombania magari utadhani watu wanapambania ufalme wa mbinguni

Morocco huwa ni wachache sana..ile route huwa naitamani.
Yeah route za Morocco na Muhimbili watu si wengi sana kama huko

Tena route za Gerezani au Kivukoni to Muhimbili ni fupi sana hadi huwa najiuliza wanaendaga kufanya nini sema ndio kwa vile kuna Hospitali tu

Siku moja nenda tu then geuza au wewe ukiwa free hupendagi kuzurura
 
20230116_200241.jpg
 
Yeah route za Morocco na Muhimbili watu si wengi sana kama huko

Tena route za Gerezani au Kivukoni to Muhimbili ni fupi sana hadi huwa najiuliza wanaendaga kufanya nini sema ndio kwa vile kuna Hospitali tu

Siku moja nenda tu then geuza au wewe ukiwa free hupendagi kuzurura

Kwa kero ninayoipata kwenye hayo magari,
Unadhani hata hamu ya kuzurula inakuwepo?Karibia kila siku nayapanda.
Nikipata muda ni kupumzika tu.
 
Nakuona unaimbisha

Huku unajipigia promo

Babu la mchongo una hatari sana

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Wewe una bahati tu Wakati tunazaliwa miaka Ile ya 47 hakukuwa na Vyeti vya kuzaliwa kama miaka yenu, otherwise ningekuonesha🤪

Huyo Mjukuu kwa Umri wangu unataka aniue, hujasikia anasema yeye bila kwenda safari 4 na kuendelea anakuwa hajafika 🙈

Maisha bado matamu eti 🤸🤸
 
Back
Top Bottom