Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,992
- 48,493
😂😂😂JamaniKuna mwl mmoja (umri wa mafao)alniuzia on that very day wamepewa kwa madai kuwa ni kizito hawezi kutembea nacho af bei ya kizazi sana![]()
😂😂😂JamaniKuna mwl mmoja (umri wa mafao)alniuzia on that very day wamepewa kwa madai kuwa ni kizito hawezi kutembea nacho af bei ya kizazi sana![]()
Yeah route za Morocco na Muhimbili watu si wengi sana kama hukoPale gerezani jioni Kuna kugombania magari utadhani watu wanapambania ufalme wa mbinguni
Morocco huwa ni wachache sana..ile route huwa naitamani.
kushuka zile ngazi hapo Morroco ni kaziPale gerezani jioni Kuna kugombania magari utadhani watu wanapambania ufalme wa mbinguni 🤣
Morocco huwa ni wachache sana..ile route huwa naitamani.
Mbona mapema sana BLMuwe na Usiku mwema wapendwalllll!
Kesho nayo ni siku!!!!!!!!👋
Eh mzee kutamuItabidi nianze kutembea kumbe bonyokwa kuna vitu kama hivi na sijui
Yeah route za Morocco na Muhimbili watu si wengi sana kama huko
Tena route za Gerezani au Kivukoni to Muhimbili ni fupi sana hadi huwa najiuliza wanaendaga kufanya nini sema ndio kwa vile kuna Hospitali tu
Siku moja nenda tu then geuza au wewe ukiwa free hupendagi kuzurura

Karibia kila siku nayapanda.Ok.Haha namtania tu huyo mkuu
SafiiiiChapati
cocastic usipoangalia mume atahamia kwangu 😂😂😂
View attachment 2483864View attachment 2483865
Safiiii jirani
Safiiii
Salama kabisa jirani, hujambo wewe..Jirani salama
Salama kabisa jirani, hujambo wewe..
Vizuri sana jirani..Mm mzima jirani
Nakaa bonyokwa miaka kibao ilo chimbo silijui dah itabidi nianze kuzurura aiseEh mzee kutamu
Kama Kimara tukushuka zile ngazi hapo Morroco ni kazi
imetulia sana route hiyo .
Wewe una bahati tu Wakati tunazaliwa miaka Ile ya 47 hakukuwa na Vyeti vya kuzaliwa kama miaka yenu, otherwise ningekuonesha🤪Nakuona unaimbisha
Huku unajipigia promo
Babu la mchongo una hatari sana
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app