Single digit ya kudumu 🤣🤣🤣Shida yako tuchafue mashuka haya bana mrembo ngoja niende bafuni na sabuni yangu tu sisi wakosaji tunateseka![]()
nipo nae hapa mkuu 😬😬😬Tinsley uko wapi?
Msalimie sana aiseeh😅..!nipo nae hapa mkuu 😬😬😬
Si kama zile za kimara terminal tukushuka zile ngazi hapo Morroco ni kazi
imetulia sana route hiyo .
Haha niliwahi fika huko mara moja tu asee ni parefu sanaOk.
Kuna mtu aliniambia nikaangalie viwanja huko,nilitaka nipate uzoefu wako.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
yeahSi kama zile za kimara terminal tu
tuone yako mr vochaMuda wa naked huu
Watu wamelala
Hulali?tuone yako mr vocha
Hulali?
Ebu selfika kwanza mdogo wangu hapa hakuna mtu wamelala
shikamoo kwakoHulali?
Ebu selfika kwanza mdogo wangu hapa hakuna mtu wamelala
Marahabashikamoo kwako
naona kushakucha tayari
Upo nikuangalizie
Ikitokea umepata Mchongo wa kazi hapo hapo kwa Mzee Makala utafanyaje?
Kwa jinsi tulivyokumisi Mjukuu, nimeona Mzee Mapunda amehaidi kujitolea Ng'ombe Mmoja tumchinje siku ya kukupokea![]()








wee babuuuh km ni mchongo sawaa, ntabaki hapa hapa, ila km life la kutembeza bahasha hapanaaa.