Selfika na JF: Snap it. Show it

Sehemu ambayo nauli zilikuwa 650 imepanda hadi 750
Na zile route za 400 imekuwa 500

Ukiunganisha route 2 ,mfano Mbezi-kivukoni ,jumla inakuwa 1250 badala ya 1050 ya mwanzo.
Oohh siyo mbaya lakini uzuri wa mwendokasi ni kama hivyo ulivyosema kwamba kwa route ndefu zinasaidia

Lakini inatakiwa waongeze magari maana zilizopo tu bado ni za kugombania

Sisi wengine huku tulipo hakuna mwendokasi na daladala si za kugombania, wala hakuna foleni za kutisha ni mara moja moja tu, kwahiyo hata siku mtu ukiamua kutumia daladala ni raha mustarehe hazina hekaheka
 
Machame unapanda mpaka pale kialiya mlima unauona karibu kabisa
 
Halafu kuna kimtu kinajitokea zake na kuponda kaskazini
 
Tunakuwa kama tuko Ulaya

Ndio maana panaitwa Geneva of Africa.

Sema kuna nyakati panaboa
Baridi ikizidi
Huwezi tupia ka dress
Itakubidi uvae li skin ndio ulivalie na koti
mnavyopafagilia Sasa weeeh!!!
 
Masaki Nini hukoooo??au mkoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…