Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,217
Isiyokuwa na mkono si umeshaiona juzi ileNimejaribu sogeza mkono meshindwa, nisaidie basiiiii
Isiyokuwa na mkono si umeshaiona juzi ileNimejaribu sogeza mkono meshindwa, nisaidie basiiiii
....enzi hizo za long hair siyo??
Nawasalimu kwa jina la TBT...long time agoView attachment 1266955







uliza basi.
Na mimi nataka.nani kasema??
Halafu fanya mpango namna ya kupata zawadi yako January tunafanyaje sasa?? Au nipotezee nikuanzishie kauzi tu
Isiyokuwa na mkono si umeshaiona juzi ile
Hivi 82 unaijua vizuri 😀😀😀 au ni 8-2=6 tunarudi pale pale 96 🏃We katoto shika adabu yako kabisa mie wa 82
nani kasema??
Halafu fanya mpango namna ya kupata zawadi yako January tunafanyaje sasa?? Au nipotezee nikuanzishie kauzi tu
Swali zuri. Kati ya vitu huwa tunasahau kuwapa watoto ni mboga za majani na matunda.where're em steak, fruits or greens...?
Ndio dada
Naanzaje kukuruhusu upotezee? Namna haijawai kukosekana
Khaaaah!! Hili liemoji ndio kutukomoa?
Na mimi nataka.
Wa kwanza.Mwezi wa ngapi??
Aiseee!!hauoni aibu??