Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,315
Kabisaa mdogo wangu!! Unaeza kuwa nahuyo mwenye kazi unayoina ya maana still usiwe na amani ya moyo! Ukawa na hohehahe ukapata amani... mida mingine huyo hohehahe pia akakuchanganya ukaona rangi zote shortly...Hayanaga formula!!!Alafu kazi sio mapenz tunajifariji tu mwanaume akupende bhana hata akiwa mkulima poa kheri ugali dagaa kweny amani kuliko wali kuku kwenye vita 😍

