Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nanunua tu mils chache za kupima.
.
Sikuona maajabu yake ila mwenyewe kila siku anaisifia.

Nimemchukulia Tena.
Na opium, Bila kusahau Sauvage ili equation ibalance.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Ni nzuri sana Scandal ingawa ni kali mimi naipenda hivyo hivyo

umenipa idea ngoja nitafute ya Mills chache lol maana na Njaanuary hii nitachina
 
Ni nzuri sana Scandal ingawa ni kali mimi naipenda hivyo hivyo

umenipa idea ngoja nitafute ya Mills chache lol maana na Njaanuary hii nitachina
Namshukuru Mungu za kupima zipp
Vinginevyo sijui ningekuwa mgeni wa nani.

Pima hata mils 50.

Sijui hata scandal inapendewa Nini😁ya kawaida sana.


Mwezi huu naenda na Lady million.
Opium ipumzike.
 
Happy New Year Nkamu

Cologne tatu za kiume ambazo nazipenda Mr akijipulizia ni hizi tena hii nyeusi mpaka nimemuibia.

ya tatu ambayo naipenda sijaweka hapo picha inaitwa Jean Paul Gaultier

Thou wakaka wa kibongo wengi wamekariri Sauvage

nimeshindwa kupiga picha na kuzungushia duara sababu nipo Dom na Mr yupo Dar hope nimejibu
Umejibu vizuri na asante sana.

Hiyo nyeusi inaitwaje? Nimejaribu kusoma jina lake lakini sijaweza. Nitakwenda kuisaka Mlimani City...

Halafu nilijua tu yangu haitakuwa kwenye list yako....Huwa nasifiwa mara moja moja ...eti we mzee umezeeka lakini unanukia vizuri

Asante nkamu
20230107-8_Gallery.jpg
 
Umejibu vizuri na asante sana.

Hiyo nyeusi inaitwaje? Nimejaribu kusoma jina lake lakini sijaweza. Nitakwenda kuisaka Mlimani City...

Halafu nilijua tu yangu haitakuwa kwenye list yako....Huwa nasifiwa mara moja moja ...eti we mzee umezeeka lakini unanukia vizuri

Asante nkamu
View attachment 2472332

hiyo ni Tom Ford Mkuu.
hiyo yako sijawahi muona nayo ngoja niiweke kwenye list

Mimi naamini huwa unasifiwa sana

ongezea na JoeMalone
 
Amen Nkamu.
Nampenda sana.

Hata hela ninayonunulia asilimia kubwa inatoka kwake mwenyewe
Ila nikimpa hizo perfume unakuta yuko happy sana

Mungu ausimamie muungano wenu nafurahi kuona watu wanapendana
 
Ugonjwa

Vile ambavyo huwa nawapenda kumsikia mtu ananukia na mimi napenda kunukia

Addiction
Bei gani dear?? Na mie ninukie.
Maana hiki kikwapa na harufu nayotoa, naona wanavumilia tyuuh kuniambia wanashindwaa.
 
Happy New Year Nkamu

Cologne tatu za kiume ambazo nazipenda Mr akijipulizia ni hizi tena hii nyeusi mpaka nimemuibia.

ya tatu ambayo naipenda sijaweka hapo picha inaitwa Jean Paul Gaultier

Thou wakaka wa kibongo wengi wamekariri Sauvage

nimeshindwa kupiga picha na kuzungushia duara sababu nipo Dom na Mr yupo Dar hope nimejibu
Hiyo nyeusi taja bei na wapi naweza pata, nimnunulie mtoto wa mama mkwe, nae ajimwaye mwaye. Hata vichenchede huko nje wampaparikie.
 
Umejibu vizuri na asante sana.

Hiyo nyeusi inaitwaje? Nimejaribu kusoma jina lake lakini sijaweza. Nitakwenda kuisaka Mlimani City...

Halafu nilijua tu yangu haitakuwa kwenye list yako....Huwa nasifiwa mara moja moja ...eti we mzee umezeeka lakini unanukia vizuri

Asante nkamu
View attachment 2472332
Na hii bei gan? Mnanivurugaa mtoto wa mama mkwe ntamjazia perfume kibaoooo.

 
Back
Top Bottom