CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Mchumba mambo ya kumechi kama nmekuja mjini na gari la mbao Hapana,,Mchumba una pigo za kizee, bas tuachanee tyuuh.
Hata km chachii ndo hujui kumechiiiii?? Aaah nshakuachaa mie sikutaki tena.
![]()
hadi hapo nmeshakuvua vyeo vya designer general

