Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Kwahiyo hutaki kiporo??umeamua kuninyima tuu
Kwahiyo hutaki kiporo??umeamua kuninyima tuu
Huwa napaka nikipaka ya gel ila naona kama inaniharibia kucha kwahiyo nimezipumzisha kidogo 😊Dear uwage unapaka rang nyeupe na mikononi.![]()
Unavyowapenda wenye athletic body sasa 😆Nilienda kwa rafk angu, ndo akasema twende Azam Cafe tukale lunch, ndo tukawakuta Kenneth na Tepsie. Nilikua namtazama mnoo had alistuka alipo nikazia jicho nka ogopa. Nkaachana nae.
Ni handsome balaaaaaaa.
katika ubora wako
Oooooh hapo sawaah,Huwa napaka nikipaka ya gel ila naona kama inaniharibia kucha kwahiyo nimezipumzisha kidogo![]()









Kenneth mzuri dear, 



hahaha balaaKenneth mzuri dear,
Yuko flexible.
Kanoutee nae aririiiiiiii
Am fyneee babee, mic u.
Nne ya kibosi sio
Nakusalimu kwa mbaliKenneth mzuri dear,
Yuko flexible.
Kanoutee nae aririiiiiiii
Am fyneee babee, mic u.
Nipooo hapa Magu hostel, nashangaa type zangu tyuuhhahaha balaa
jana nikaona type zako huku ...nikakumbuka
miss you![]()



Hatareeeee, anabonda no 6 pale kati na anajua kuitendea haki.Ana upiga sana uyo mkenya mimi azam ndo chama Langu apa Tz
Mchumba una pigo za kizee, bas tuachanee tyuuh.





Nipoooo hapaaa mie.Nakusalimu kwa mbali
Habari ya wewe na mgonjwa anaendeleajeNipoooo hapaaa mie.
Nakusalimu pia.
watu na type zenu lolNipooo hapa Magu hostel, nashangaa type zangu tyuuh
Ila UDSM kuna ma handsome, afu wana akili sasa. Woiiiiiiiih.
Namsubiri genius tuende library.![]()
Ambao hatuli je 😆Mnaendeleaje? Wale wa sabato mko poa?
Wale wala kitimoto kama mimi, pita huku
sitaki, kula mwenyeweKwahiyo hutaki kiporo??