Huyo ni bonge la bwana
nawaombea mafanikio tele .. ulianza kama masihara leo hii mambo yamenoga ..
mapenzi matamu kama asali





kila nikikumbukaa huwa nachekaaa, Haya maneno sijui wanatoa wapi🤣🤣🤣Umeambiwa hiyo ni Budege
Umekomaza shingo
Endelea kujibebisha
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Mnajua mnanitisha mpaka naanza kumuogopa sasa. Nahitaji kufanya maamuzi magumu kati ya kubaki ama kutoka.Umeambiwa hiyo ni Budege
Umekomaza shingo
Endelea kujibebisha
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Chief kama umefika basi tulia, hizi chobingo zako uachane nazo, 🤣🤣"apataye mke apata kitu chema"Hapana hapa nimependa kweli!
Dogo kwanza jiandae kuzabwa makofi...
Ulivyo mdogo kila siku watakuwa wanakuokoto.
Huyo ni mkurya wewe ni kijana wa 7 kuolewa jiandae kwa aibu
ERoni
Bantu Lady
Wigelekelo

Baki Ili iwe fundishoMnajua mnanitisha mpaka naanza kumuogopa sasa. Nahitaji kufanya maamuzi magumu kati ya kubaki ama kutoka.
Nimeacha yote mkuu!Chief kama umefika basi tulia, hizi chobingo zako uachane nazo, 🤣🤣"apataye mke apata kitu chema"
Hawezi kutulia huyu dogo.Chief kama umefika basi tulia, hizi chobingo zako uachane nazo, 🤣🤣"apataye mke apata kitu chema"
Eti mi mdogo babe Bantu Lady ?Dogo kwanza jiandae kuzabwa makofi...
Ulivyo mdogo kila siku watakuwa wanakuokoto.
Huyo ni mkurya wewe ni kijana wa 7 kuolewa jiandae kwa aibu🤣🤣🤣
ERoni
Bantu Lady
Wigelekelo
Utamchambaje huyo kidudu mtuhadi aombe poo.






uzuri wake mie mzungu. Masikini hawajui wanachokiongea😩Hawezi kutulia huyu dogo.
Bantu Lady atakuwa wa 17 kumlea huyu dogo🤣
Amen my gelBila shaka Dad usiwaze nitamleta kwenu mfafanyie preliminary investigation .
mapenzi yanaanza hivyo mwisho wa siku umezama kwenye huba zito .kila nikikumbukaa huwa nachekaaa,
Km masikharaaa, afu sikua serious, nilikua na jokes tyuuh.
Siku 1 tyuuh ikafanyaa leo penzi limebambaaaa.
Mkaka kabisa, unanimudu ipasavyo...Eti mi mdogo babe Bantu Lady ?
Labda lile shape wanahisi mwamba atasafokeit🤣🤣🤣Mkaka kabisa, unanimudu ipasavyo...
Sijui kwanini wanakuona mdogo babe..
Au ile badilisha badilisha wanawake 😄😄😄😄😄
Watu kama nyie ndio tunawapa vijana tahadhari mapema, wawe na pulling ya kutosha🤣🤣🤣hujambo mdogo ake?Kho khokhoo
Chat na picha wajomba na mashangaziiii
Size yake kabisa, anafit waambie 🤣🤣🤣🤣🤣Labda lile shape wanahisi mwamba atasafokeit🤣🤣🤣