Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Haya majamaa ya jf kina @wigeleko na National Anthem utaweza kupambana nayo?🤣🤣🤣Thanks mkuu! Ila kuachana hapana kabisa😅
Honey Jack Palladino 😔😔😔😔
Mtie kwenye chupaMbona kuachwa, nitahama unajua ERoni uso wangu nitauweka wapi miye Jack akiniacha...
Halafu apate mtu hapahapa hakuna rangi nitaacha ona. Nipe mbinu nisiachwe kwenye mataa... Project??????
Hili nalo tupige magoti tuliombee mkuu, record zako sio safi sana humu, umependa na kuacha mara nyingi kuliko kudumu kwenye penzi🤣🤣🤣🤣🤣Thanks mkuu! Ila kuachana hapana kabisa😅
Babe vita ni kubwa ila tutashinda!Honey Jack Palladino 😔😔😔😔
YupoTulia kwanza huko. Hivi Mnyonya mbususu kapotelea wapi? Toka 2023 sijamsikia sijui yuko salama. Walimu wangu nyie nawapenda![]()
Sauti ya wengi mkuu, inabidi tumuache Bantu Lady apalilie penzi lake ila temperature tahadhari maana lolote laweza kutokea🤣🤣
Hapana hapa nimependa kweli!Hili nalo tupige magoti tuliombee mkuu, record zako sio safi sana humu, umependa na kuacha mara nyingi kuliko kudumu kwenye penzi🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu niambie vizuri!!! Kumbe ndiyo haya????? Mnanichora tu eeh nimevamia pasipovamiwa... NimeishaHili nalo tupige magoti tuliombee mkuu, record zako sio safi sana humu, umependa na kuacha mara nyingi kuliko kudumu kwenye penzi🤣🤣🤣🤣🤣
Utamchambaje huyo kidudu mtu 😅😅 hadi aombe poo.bestiee nashikilia haswaaa. Kidudu mtu kisipite kati yetuuu.
Aririiiiiiiiiiiiii
Mwanzoni huwa hawasikii wape siku 90 mchezo kwisha🤣Sauti ya wengi mkuu, inabidi tumuache Bantu Lady apalilie penzi lake ila temperature tahadhari maana lolote laweza kutokea🤣🤣
Babe wanakuchota akili hao...sijawahi penda kama navyokupenda!Hebu niambie vizuri!!! Kumbe ndiyo haya????? Mnanichora tu eeh nimevamia pasipovamiwa... Nimeisha
Tulizana mrembo, tahadhari ni muhimu, hata ungekuja kwangu bado ningekupa tahadhari pamoja na kuwa nishazeeka. Hawa vijana wangu nawajua, twende kwa kunyata kwanza🤣🤣🤣Hebu niambie vizuri!!! Kumbe ndiyo haya????? Mnanichora tu eeh nimevamia pasipovamiwa... Nimeisha
Hii vita hii, ngoja tuone mwisho wake. Tukitoboa huu mwaka basi tumeshinda babe...Babe wanakuchota akili hao...sijawahi penda kama navyokupenda!
Umeambiwa hiyo ni BudegeHebu niambie vizuri!!! Kumbe ndiyo haya????? Mnanichora tu eeh nimevamia pasipovamiwa... Nimeisha
Tunatoboa kabisa babe, wepesi tu hawaHii vita hii, ngoja tuone mwisho wake. Tukitoboa huu mwaka basi tumeshinda babe...
Dogo kwanza jiandae kuzabwa makofi...Thanks mkuu! Ila kuachana hapana kabisa😅