Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nawaombea mfike mbali, tupate hadi wajomba kabisa, ila akipenyeza halafu akakuacha sitafurahi🤣🤣🤣 lakini mkiachana pia usiache kutupa habari, the project is underway🤣🤣
Mbona kuachwa, nitahama unajua ERoni uso wangu nitauweka wapi miye Jack akiniacha...
Halafu apate mtu hapahapa hakuna rangi nitaacha ona. Nipe mbinu nisiachwe kwenye mataa... Project??????
 
mambo yamenouga weh
anakufikisha palipo
hahah wote viportable alooh.

Naona genius kaingia hadi kwenye damu ... shikilia hapo hapo
bestiee nashikilia haswaaa. Kidudu mtu kisipite kati yetuuu.

Aririiiiiiiiiiiiii
 
Mbona kuachwa, nitahama unajua ERoni uso wangu nitauweka wapi miye Jack akiniacha...
Halafu apate mtu hapahapa hakuna rangi nitaacha ona. Nipe mbinu nisiachwe kwenye mataa... Project??????
Tena amenijia pm anasema hakupendi bali unamng'ang'ania.
Hebu usiwe mjinga utachekwa Bantu Lady
 
mpare huyo ajengewe tuzo kabisa ..
Anakupa vitu msingi kabisa .
Haswaaaaaah dear.
Napendaa yuko slowly, mkimyaa, mpoleee.
Muelewaaa, afu anapendaa kwa dhatiii sasa, labda nizingue mie.
Maana mwenyewe kichwa hiki hakijakaa vizuri,

Ila hapa acha nitulize wengee, huenda watu watakula ubwabwaa.
 
Haswaaaaaah dear.
Napendaa yuko slowly, mkimyaa, mpoleee.
Muelewaaa, afu anapendaa kwa dhatiii sasa, labda nizingue mie.
Maana mwenyewe kichwa hiki hakijakaa vizuri,

Ila hapa acha nitulize wengee, huenda watu watakula ubwabwaa.
Huyo ni bonge la bwana
nawaombea mafanikio tele .. ulianza kama masihara leo hii mambo yamenoga ..
mapenzi matamu kama asali
 
Back
Top Bottom