Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri wake mie mzungu.
Terms n conditions, genius anajua. Akizingua ameishaaa.
Nimenyooka km rulaaaaaa.
Hahha usimwache please
hivi wewe haumiii ukiacha mtu ..
 
Haswaaaaaah dear. Ila nna kanuni 1, mguu m1 nje.
Huwa siingiagi mazimaa eti, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera
mimk siwezi hivyo ... labda nisikuelewe .
 
Dyadyaaaaa nimepata bwanaa npyaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niombeee mdogo wako, nimezamaaa haswaa,
😂😂😂😂😂
Mdogo wangu nimeona tashtiti zako huko juu..Yani nimechekaaa
Ikawe kheri mdogo wangu..cheza kwa step tu
❣️
 
😂😂😂😂Kaka ake nimecheka
Sijambo shikamoo kaka
Marahaba mdogo ake, au nimeongopa? Selfika kidogo tu hapa uone kama hawakimbii wote, hawana pulling hata kidogo🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] moyo huo Jah hajanipaaa,
Mie naangalia furaha yangu tyuuh, mengine hayanihusu.

Mzungu mie eti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
i wish niwe nunda hivyo ..
ila ukibebaa mimba utaanza fikiria tofauti .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mdogo wangu nimeona tashtiti zako huko juu..Yani nimechekaaa
Ikawe kheri mdogo wangu..cheza kwa step tu
[emoji3589]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan navurugwaaa, nataman dunia itulie nihutubie kuwa nipo kwenye mahusiano. Yaan nipo kwenye penzi haswaaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom