Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
KHaa kumbe wewe ni ndg yangu nashangaa tunazodoana hapa.IT'S THURSDAY!View attachment 2469533
Nisamehe sana sitarudia tena mama
KHaa kumbe wewe ni ndg yangu nashangaa tunazodoana hapa.IT'S THURSDAY!View attachment 2469533
Kura unapiga wapi?Mixer na Congo na Zambia. So nimechukua kotekote...
Hujawahi kuniangusha bro.Mkuu mimi huwa ni peacemaker, napenda amani sitaki maugomvi.
Nilikuwa naomba usije atii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jack Palladino yuko kimyaaaa sijui anasoma tu. Leo nimeyakanya rafiki yangu. ERoni anaokoa jahazi. Wewe unalizamisha 😄😄🤣🤣🤣🤣
Basi automatically amani imerejea, najua ndugu wakigombana naenda zangu kulima.Hujawahi kuniangusha bro.
Pili sikujua kumbe Bantu Lady ni ndg yangu na tunafahamiana kabisa nje ya jf
Na watch li muvi lenuNilikuwa naomba usije atiiJack Palladino yuko kimyaaaa sijui anasoma tu. Leo nimeyakanya rafiki yangu. ERoni anaokoa jahazi. Wewe unalizamisha
![]()
we ni mpambe
Wige hebu tulia kwanza... Glenn tayari eti ni ndugu yangu eti 😄😄🤣🤣🤣 chukua popcorn movie ndiyo kwanza imeanza trailer...Na watch li muvi lenu
Kwa hiyo umeyakanyaga Kwa injinia?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Hebu toa hiyo emojiIT'S THURSDAY!View attachment 2469533
KimeumanaGlenn serious mimi ni ndugu yako? Na hiyo emoji umenijua kuwa nimimi? Text me kama una namba yangu, uwiii nimefikiwa na ndugu yangu![]()

Unataka uujue utambulisho wangu nje ya jf?Glenn serious mimi ni ndugu yako? Na hiyo emoji umenijua kuwa nimimi? Text me kama una namba yangu, uwiii nimefikiwa na ndugu yangu 🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Leo majukumu yamebana kidogo babe!..ila hakuna atakae haribu penzi letu, let them talk tu!😘Nilikuwa naomba usije atii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jack Palladino yuko kimyaaaa sijui anasoma tu. Leo nimeyakanya rafiki yangu. ERoni anaokoa jahazi. Wewe unalizamisha 😄😄🤣🤣🤣🤣
It is enough 😢
Daah huyu binti ninamfahamu sana
Hebu niache bana Glenn una nini lakini? So mimi unijue, halafu wewe nisikujue? Nicheck whatsapp pleaseDaah huyu binti ninamfahamu sana
Done!!!Umeifanya shingo yako ngumu labda nikuache tu uendelee kunizodoa😁😁