Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mawardat

Tinsley

Mtoko wa tar 31, chini nlivaa sliperz, nli mbeba na huyo mdoll wangu anaitwa "Vovo", nlikua na genius na rafik etu mwingne.

Kuna mall tulienda, aseeeh kufika pale watu wotee jicho kwangu, nlivungaa baadae nkajistukiaa nkatoka nje kuwasubiri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2469210

Sent using Jamii Forums mobile app
Rangi yenyewe lazima watu washangae wanajua mtasha katoka zake mambele huku
 
Kweli apart from working mates i don't interact with any other people..

So nikitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani..

Mtaa Ninao ishi sina rafiki na majiran zangu ni salamu tu..

Pia sabb inayofanya nisichangamane i observed most of the time watu wakiwa pamoja wanazungumzia watu kitu ambacho sipendelei..

Sitak kujua habari za watu na sitak wajue habr zangu..
Ooh watu wa mtaani wako hivyo mostly . too judgemental etc

i guess you should find friends ambao mna similar interests .

anaweza akawa mmoja au wawili tu for starters .
 
mawardat

Tinsley

Mtoko wa tar 31, chini nlivaa sliperz, nli mbeba na huyo mdoll wangu anaitwa "Vovo", nlikua na genius na rafik etu mwingne.

Kuna mall tulienda, aseeeh kufika pale watu wotee jicho kwangu, nlivungaa baadae nkajistukiaa nkatoka nje kuwasubiri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2469210

Sent using Jamii Forums mobile app
ulinoga shosti
huyo mdoll mzuri na mkubwa .
mtoto mweupe
😍😍
Mungu awabariki na genius mfike mbali .
 
mawardat

Tinsley

Mtoko wa tar 31, chini nlivaa sliperz, nli mbeba na huyo mdoll wangu anaitwa "Vovo", nlikua na genius na rafik etu mwingne.

Kuna mall tulienda, aseeeh kufika pale watu wotee jicho kwangu, nlivungaa baadae nkajistukiaa nkatoka nje kuwasubiri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2469210

Sent using Jamii Forums mobile app
Usingetoka nje,mtu akikutizama nawe mkazie macho,
 
I have my niece, we normally talk on phone a lot nikiwa idle.. she is my big companion..

I can't hug her though when we meet.. 😀
Ooh I see
Your girlfriend je ...

Do you know the bonding hormone called oxytocin which is released during hugging etc
it release other happy hormones such as serotonin and dopamine .

You sudden feel a surge of positive emotions and reduces stress too .
 
Nisiwe muongo Mkuu,

Ukitaka kuprove Doon is a failure benchmark my performance ktk uwezo wa kutengeneza marafiki...

Most of the people ambao niko nao tulikutana kwa sbb ilibidi tukutane no matter what...

I am seriously not good at finding friends..
All introverts are the same
it's really hard for you guys to meet new people .

If you are super quite , nani atakufata kuanza kujuana .
people will either think unaringa or boring .

Make a first move , get to know a person , give a glimpse of your world , ask questions ... take time and don't rush

NB ; Try to befriend an extrovert at work ..
 
Imebidi nicheke tu..

Hizo technical term nimewah zisikia sana especially dopamine na oxytocin kwa wataalamu wanaojadili masuala ya mind kisayansi zaidi, however elimu yangu ipo kiart zaidi kutokana na background yangu ya taaluma..

Kuna kadada kapo ambako huwa nakakumbatia, sema I planned not to share this..

Ila nashukuru kwa elimu uliyonipa inanihamasisha nikazane kuongeza dozi..
weuweeeeh hebu ongeza dose 😅😅
You should do this often ...
Bonding muhimu aisee
mkumbatie kila unapomuona ...
 
Back
Top Bottom