Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
hahha tupo wengi lolNimefurahi pia, sijui chochote pia 🤣🤣🤣🤣 Poa maindu 😍😍😍
isingekuwa surname hata watu wasingengejua kabila langu ...
tunafananishwa tu na makabila mengine ..
hahha tupo wengi lolNimefurahi pia, sijui chochote pia 🤣🤣🤣🤣 Poa maindu 😍😍😍
Kanyoosha mikonoo juu,Kwa kungwi nyakanga naona amesalim amri mwenyewe!!Hachomoiii








Hahahha
Yes tuinapewa makabila tofauti. Sijui kwanini hawajuagi kuwa Mara kuna vifaa. Ndugu zangu wa ukoo karibu wote wako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥hahha tupo wengi lol
isingekuwa surname hata watu wasingengejua kabila langu ...
tunafananishwa tu na makabila mengine ..
Nimefika sweteee@Mjep mume wangu, mahabubha, laazizhi, mkalia ini, tamuu yangu, wangu pekee yangu, uwezaye kunituliza akili na mwili.
Njoo baba utoe muongozo, unaitwa huku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waitara Nchore Ryoba Au Mang'ehe??hahha tupo wengi lol
isingekuwa surname hata watu wasingengejua kabila langu ...
tunafananishwa tu na makabila mengine ..
Hahah sina hata kipenziT Weee hauna Injinia wa akiba huko unipasie hapa namie nivimbe humu kipenzi???🤔🤔🤔😅🤣😂😂😂
Hebu waelezeeeee mume wanguuu, na uogezee sautiii kubwaaa wakusikieee.Na nimeoza kweli kwelii
Nani haelewi mrembo wangu?






Ndo kwenyewe hukoWaitara Nchore Ryoba Au Mang'ehe??
Ahsanteeeeeeeeeee mumee wanguuuu,Nakupenda baby wangu![]()



















Kanda ya ziwa asilimia kubwa wanawake wako on fireYes tuinapewa makabila tofauti. Sijui kwanini hawajuagi kuwa Mara kuna vifaa. Ndugu zangu wa ukoo karibu wote wako![]()
kila la kheriii na foleniii zenyuuuhh mie napambana na kistaafu changu
!!







pambania mafao mama, omba tyuuh kikokotoo kisikufurahisheeee. Wanahisi wakuria wote weusi dah ... hawajui kuna maji ya kunde na weupe pia .Yes tuinapewa makabila tofauti. Sijui kwanini hawajuagi kuwa Mara kuna vifaa. Ndugu zangu wa ukoo karibu wote wako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂Nimeghairi sikupi ulinzi khaAanze wapiiii? Akionaaa upajaaa ashakojoaaaa, bado sijatabasamu na dental form yanguu, meno meupee km sitafuni kitu. Sijalegeza jicho km kengeza lilokosa tibaaaaa.
Mie mzuriiiii bhanaaa, anayenikulaaa ana fauduuuuu Mjep malizia mwenyeweeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaaaa wee, sahv uko juu kusini kwa mam mkubwa au?Happy New year mdogo wangu I'm back again mama yako mdogo alinificha arusha





