kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
Wewe si wakule kwetu kiabakariNimeona luv... ni rafiki yake sisi wazungu. Tuna marafiki wa jinsia tofauti![]()
Wewe si wakule kwetu kiabakariNimeona luv... ni rafiki yake sisi wazungu. Tuna marafiki wa jinsia tofauti![]()







mtajua hamjuiiii.
Nimefurahi pia, sijui chochote pia 🤣🤣🤣🤣 Poa maindu 😍😍😍sijui chochote kuhusu ukuria ..nipo nipo hapa sema ni pure .
Nimefurahi kupata ndugu humu 😍😍
Kwa kungwi nyakanga naona amesalim amri mwenyewe!! 🤣🤣 Hachomoiiimtajua hamjuiiii.
Mjep mwenyeweee kwangu amezamaa, amekufa, na ameozaaaaa!!
Nawezaa waachia na bado akarudi kwanguuu, mnajua anavopataa kwanguuu???
Weraaaaaaaaaaaah!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Mkurya mchanganyiko wa Congo, Zambia but bado mkali balaa... Sema sikuwa namtakaSelfika pangewaka mbona natania bana. Nampenda Cocaa bana, love uchochezi huu leo kwemaaaaa
![]()







nimechekaaaa mnooo. 








🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimechekaaaa mnooo.
Mwenyewee mngoni nliyechanganyika na msumbiji na SA, si unajua vita kwetu ni chakulaaa
Tukisema "Obligado vamshi mbolaaa" hapo kinachofuataaaa ni mtiti na vumbii tyuuh hewaniii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjep anakuibia huyu!






sasa hautakiiii? Namuibia vipiii? 🤣🤣🤣🤣🤣 Nimechekaaaaaa nahisi kujikojolea hapa cocaaaaa !!😁😁😁😁
Weee mwache Eng wangu, atajing'ata huko alipo. Mtaje Jack Palladino kuanzia sasa sawa love? Sikwambii vingine sasa 😔😔😔😔Weraaaaaaaaaahhhh 💃💃💃💃💃🤸🤸🤸! Navoitikia utadhani namie nina Injinia 😁😁😁🤣🤣🤣!
Namue mnitafutie Eng msintanieeee 🤣🤣
Ndiwoooooooooooh!!![]()
Selfikaaaaa mahusiano Mapenzi na kuwekana!!
Jf sihamiiiiii![]()

















watruuuu na Mainjinia wenyuuuuu wauuuuweeeeeeeeehhhhhh 💃💃💃!!Weee mwache Eng wangu, atajing'ata huko alipo. Mtaje Jack Palladino kuamzia sasa sawa love? Sikwambii vingine sasa 😔😔😔😔
Na nimeoza kweli kweliimtajua hamjuiiii.
Mjep mwenyeweee kwangu amezamaa, amekufa, na ameozaaaaa!!
Nawezaa waachia na bado akarudi kwanguuu, mnajua anavopataa kwanguuu???
Weraaaaaaaaaaaah!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujue huyo Jack Palladino ni wangu lakiniWeee mwache Eng wangu, atajing'ata huko alipo. Mtaje Jack Palladino kuamzia sasa sawa love? Sikwambii vingine sasa![]()
Nyamongo... ndiyo huko Kiduku pia ni wa huko? Tuunde Mkoa wa Mara humu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe si wakule kwetu kiabakari