Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

weeeehh kwaile selfii yaile siku thubutuuuu!
Bado yanki sana tena kijana mmoja matraaatraaaaa sanaaaa wa kwenda roundi heavy😁!
Huo Uyanki utoke wapi na Umri huu, saivi tumebaki na nafasi moja tu WAZEE WASHAURI.

Mkigombana huko na Waume zenu Sisi Wazee tunashauri tu 🤪

Ngoja nikimbizane na Kupanda mahindi yangu hapa shambani, msiache kuja kutusaidia Palizi tu 🤗
 
Mimi Mkurya mchanganyiko wa Congo, Zambia but bado mkali balaa... Sema sikuwa namtaka 🤣🤣🤣🤣 Selfika pangewaka mbona natania bana. Nampenda Cocaa bana, love uchochezi huu leo kwemaaaaa 😄😄😄😄
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

Selfikaaaaa mahusiano Mapenzi na kuwekana 😂😂😂😂🤣🤣🤣!!

Jf sihamiiiiii 😁🤣
 
Huo Uyanki utoke wapi na Umri huu, saivi tumebaki na nafasi moja tu WAZEE WASHAURI.

Mkigombana huko na Waume zenu Sisi Wazee tunashauri tu 🤪

Ngoja nikimbizane na Kupanda mahindi yangu hapa shambani, msiache kuja kutusaidia Palizi tu 🤗

Tunakupa cheo cha Babu mshauri selfika 😂😂!

Kam kauwaaaa kuanzia palizi hadi mavuno lazima wajukuu tuje kumsaidia bibi nyie mpumzike!!
 
Bantu Lady mkurya gani wewe hebu muoneshee mngoni huyu hakujuuiiii Bwana si kaja mwenyewe wee mvae tyuuhhh

Mi Nimekaa paleee nawatch muviiii
anatujua wangoni anatusikiaa? Amuulize mwanaume mwenyewee, huwa anatamka lugha 27 anazopaswa kutamka akiwa kitandani.

Weraaaaaaaaaaah mtuaaacheeeee mapenziii yametufikia wenyeweeeee.

Mjep nakupendaaaa mume wanguuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom