Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,838
- 57,474
Huo Uyanki utoke wapi na Umri huu, saivi tumebaki na nafasi moja tu WAZEE WASHAURI.weeeehh kwaile selfii yaile siku thubutuuuu!
Bado yanki sana tena kijana mmoja matraaatraaaaa sanaaaa wa kwenda roundi heavy😁!
Mkigombana huko na Waume zenu Sisi Wazee tunashauri tu 🤪
Ngoja nikimbizane na Kupanda mahindi yangu hapa shambani, msiache kuja kutusaidia Palizi tu 🤗




