Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 4, 2023 #303,001 Wigelekelo said: Mzee wa Ituri Heri ya mwaka mpya Ulijificha na nani aisee Tinsley nae kaonekana Leo Nyie watu nyie Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app Click to expand... Mambo kaka Wige 😅 missed you habari za huko ?
Wigelekelo said: Mzee wa Ituri Heri ya mwaka mpya Ulijificha na nani aisee Tinsley nae kaonekana Leo Nyie watu nyie Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app Click to expand... Mambo kaka Wige 😅 missed you habari za huko ?
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,002 Bantu Lady said: Nakufwaaaaa Cocaa kumbe shem wangu. Hata hamna kitu alionyesha upendo wa malike km yote. Nikashukuru jamani.. miye wangu Jack Palladino hata sipepesi macho kwingine love Click to expand... ndiwooooooo niachieni boss wangu Mjep , Ndoa inafungwa ktk St petro Rome Vatican. Harusi ukumbi ni anfield. Mume wangu livapulga fan. Uwiiiii. Sent using Jamii Forums mobile app
Bantu Lady said: Nakufwaaaaa Cocaa kumbe shem wangu. Hata hamna kitu alionyesha upendo wa malike km yote. Nikashukuru jamani.. miye wangu Jack Palladino hata sipepesi macho kwingine love Click to expand... ndiwooooooo niachieni boss wangu Mjep , Ndoa inafungwa ktk St petro Rome Vatican. Harusi ukumbi ni anfield. Mume wangu livapulga fan. Uwiiiii. Sent using Jamii Forums mobile app
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,009 Reaction score 177,313 Jan 4, 2023 #303,003 Wanaselfika mlichokula leo mnajua wenyewe!! 😁😁😁
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,994 Reaction score 48,498 Jan 4, 2023 #303,004 Antonnia said: Madam Nawe chunga wako au ndio Weee wako wanakuchungia???? 😁😁😁😁😎😎 Jf sihamiiiiii 💃💃🤸🤸🤸 Click to expand... 😂😂😂Mimi nikipata nitamuita aunt yangu coca anisaidie ulinzi naona Yuko vizuri😂😂akichoka kumlinda amkule tu yaishe 😂😂😂
Antonnia said: Madam Nawe chunga wako au ndio Weee wako wanakuchungia???? 😁😁😁😁😎😎 Jf sihamiiiiii 💃💃🤸🤸🤸 Click to expand... 😂😂😂Mimi nikipata nitamuita aunt yangu coca anisaidie ulinzi naona Yuko vizuri😂😂akichoka kumlinda amkule tu yaishe 😂😂😂
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 19,994 Reaction score 48,498 Jan 4, 2023 #303,005 Antonnia said: Wanaselfika mlichokula leo mnajua wenyewe!! 😁😁😁 Click to expand... Wew ndo naona umevuta bangi mbichi Leo😂😂😂😂 Coca atakuwa kavutia chooni imechanganyika na harufu ya kule😂😂😂
Antonnia said: Wanaselfika mlichokula leo mnajua wenyewe!! 😁😁😁 Click to expand... Wew ndo naona umevuta bangi mbichi Leo😂😂😂😂 Coca atakuwa kavutia chooni imechanganyika na harufu ya kule😂😂😂
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,006 Jack Palladino said: Dogo mshenzi sana huyu Click to expand... wee lekchaaa vipi? Jimbo la Mjep hili. Hana mambo mengi afu, c unaona alivyo mzungu wa rohoooo Mumuacheee mkalia ini wangu Sent using Jamii Forums mobile app
Jack Palladino said: Dogo mshenzi sana huyu Click to expand... wee lekchaaa vipi? Jimbo la Mjep hili. Hana mambo mengi afu, c unaona alivyo mzungu wa rohoooo Mumuacheee mkalia ini wangu Sent using Jamii Forums mobile app
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jan 4, 2023 #303,007 Wigelekelo said: Mademu wa kikurya Mna ngozi inayoteleza Nadhani samli maziwa na kichuri Ukinipa mbona fresh tu Ila Mimi kugandana kama brake pads hapana Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app Click to expand... Mbona mimi sina hiyo ngozi inabidi nirudi nyumbani aisee kukulia mjini ni shida 😆😆.
Wigelekelo said: Mademu wa kikurya Mna ngozi inayoteleza Nadhani samli maziwa na kichuri Ukinipa mbona fresh tu Ila Mimi kugandana kama brake pads hapana Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app Click to expand... Mbona mimi sina hiyo ngozi inabidi nirudi nyumbani aisee kukulia mjini ni shida 😆😆.
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jan 4, 2023 #303,008 cocastic said: wee lekchaaa vipi? Jimbo la Mjep hili. Hana mambo mengi afu, c unaona alivyo mzungu wa rohoooo Mumuacheee mkalia ini wangu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Eheee Mjep hongera sana mkuu!..umewezaje kukituliza hiki kiumbe?
cocastic said: wee lekchaaa vipi? Jimbo la Mjep hili. Hana mambo mengi afu, c unaona alivyo mzungu wa rohoooo Mumuacheee mkalia ini wangu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Eheee Mjep hongera sana mkuu!..umewezaje kukituliza hiki kiumbe?
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,009 Antonnia said: Naona Unaua yeyote ataeingia 18 zakoo!! Jf sihamiiiiii Click to expand... Sitakiiiiii utani kwa mume wangu, nimemtengeneza mie huyu na kumshapee awe hivi. Afu watu wanataka kumkwapuaaa?? Watajua hawajuiii. Sent using Jamii Forums mobile app
Antonnia said: Naona Unaua yeyote ataeingia 18 zakoo!! Jf sihamiiiiii Click to expand... Sitakiiiiii utani kwa mume wangu, nimemtengeneza mie huyu na kumshapee awe hivi. Afu watu wanataka kumkwapuaaa?? Watajua hawajuiii. Sent using Jamii Forums mobile app
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,010 Antonnia said: Wee mkurya kweli wewe?Gecha mtu muraaaaaa Mbavuu Zanguuu cocastic Click to expand... Waniachieeeee engineer wanguu, sitakiii utaniiiii. Nayee si ana injiniaa wakee, Sent using Jamii Forums mobile app
Antonnia said: Wee mkurya kweli wewe?Gecha mtu muraaaaaa Mbavuu Zanguuu cocastic Click to expand... Waniachieeeee engineer wanguu, sitakiii utaniiiii. Nayee si ana injiniaa wakee, Sent using Jamii Forums mobile app
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,011 kiduku mpapaso said: Upendo kwanza hela mpaka mwaka 2025 Click to expand... Ndyoooooooh Sent using Jamii Forums mobile app
kiduku mpapaso said: Upendo kwanza hela mpaka mwaka 2025 Click to expand... Ndyoooooooh Sent using Jamii Forums mobile app
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,012 Antonnia said: Hataki utani na mali zakee bana! Click to expand... Ongezaaa sauti puliiiiizzzzzz Sent using Jamii Forums mobile app
Antonnia said: Hataki utani na mali zakee bana! Click to expand... Ongezaaa sauti puliiiiizzzzzz Sent using Jamii Forums mobile app
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,013 Jack Palladino said: Na wasiwasi na huyu dogo ana mambo mengi sana! Click to expand... mambo mengi gani?? Hebu semaaaaa. Kuwa wazi fungukaaa hapa ruksaaaa. Sent using Jamii Forums mobile app
Jack Palladino said: Na wasiwasi na huyu dogo ana mambo mengi sana! Click to expand... mambo mengi gani?? Hebu semaaaaa. Kuwa wazi fungukaaa hapa ruksaaaa. Sent using Jamii Forums mobile app
SankaraBoukaka JF-Expert Member Joined Jul 2, 2019 Posts 2,603 Reaction score 4,028 Jan 4, 2023 #303,014
kiduku mpapaso JF-Expert Member Joined Oct 30, 2018 Posts 1,987 Reaction score 4,872 Jan 4, 2023 #303,015 cocastic said: Sitakiiiiii utani kwa mume wangu, nimemtengeneza mie huyu na kumshapee awe hivi. Afu watu wanataka kumkwapuaaa?? Watajua hawajuiii. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Nunua panga kabisa abiria chunga mzigo wako
cocastic said: Sitakiiiiii utani kwa mume wangu, nimemtengeneza mie huyu na kumshapee awe hivi. Afu watu wanataka kumkwapuaaa?? Watajua hawajuiii. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Nunua panga kabisa abiria chunga mzigo wako
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,009 Reaction score 177,313 Jan 4, 2023 #303,016 cocastic said: Sitakiiiiii utani kwa mume wangu, nimemtengeneza mie huyu na kumshapee awe hivi. Afu watu wanataka kumkwapuaaa?? Watajua hawajuiii. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bantu Lady mkurya gani wewe hebu muoneshee mngoni huyu hakujuuiiii😁😁😁😁 Bwana si kaja mwenyewe wee mvae tyuuhhh🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁 Mi Nimekaa paleee nawatch muviiii 🤣🤣🤣
cocastic said: Sitakiiiiii utani kwa mume wangu, nimemtengeneza mie huyu na kumshapee awe hivi. Afu watu wanataka kumkwapuaaa?? Watajua hawajuiii. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bantu Lady mkurya gani wewe hebu muoneshee mngoni huyu hakujuuiiii😁😁😁😁 Bwana si kaja mwenyewe wee mvae tyuuhhh🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁 Mi Nimekaa paleee nawatch muviiii 🤣🤣🤣
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jan 4, 2023 #303,017 cocastic said: mambo mengi gani?? Hebu semaaaaa. Kuwa wazi fungukaaa hapa ruksaaaa. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hayaelezeki kabisa
cocastic said: mambo mengi gani?? Hebu semaaaaa. Kuwa wazi fungukaaa hapa ruksaaaa. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hayaelezeki kabisa
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,018 Antonnia said: Weee sema kweli??? uliwe nawe ukiwa unataka / unapenda! Click to expand... Nyokoooooooooooh weee, ntakubondaaaaaa Si naskia watu wanasemaga. Sent using Jamii Forums mobile app
Antonnia said: Weee sema kweli??? uliwe nawe ukiwa unataka / unapenda! Click to expand... Nyokoooooooooooh weee, ntakubondaaaaaa Si naskia watu wanasemaga. Sent using Jamii Forums mobile app
kiduku mpapaso JF-Expert Member Joined Oct 30, 2018 Posts 1,987 Reaction score 4,872 Jan 4, 2023 #303,019 cocastic said: Ndyoooooooh Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mungu akulinde madam
cocastic said: Ndyoooooooh Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mungu akulinde madam
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,301 Jan 4, 2023 #303,020 sophy27 said: Kila mtu achunge mzigowake Click to expand... Kabisaaaaaa, Miee naweka onyoo hapa hapa wazi. Sent using Jamii Forums mobile app
sophy27 said: Kila mtu achunge mzigowake Click to expand... Kabisaaaaaa, Miee naweka onyoo hapa hapa wazi. Sent using Jamii Forums mobile app