Golden Tulip.Nyie mtakua mkko vizure hongeraa shoss angu!! !! Mambo ya Johari Wapi wapi Sijui kwakwenda mbereeeee!! Watu na watu wenyuuuuuuuu
Watu weeeuweeeeeeeeeeh πππππππ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€ΈWige kwani mpaka uzaliwe naye? Naachaje Tall, white and handsome, rich ππ msafi ile mtanashati, msomi ni Eng wa.... mguu wa mtoto π€£π€£π€£π€£ Romantic na zaidi kafa kaoza. Sasa naanza tafuta aina hii naipata wapi tena. ππππ
Asante luv. Anafatilia maana ni mtu mwenye wivu sana. Ni kijana but nachoshukuru ana hekima sana. Bila hivyoakiona kitu hajapenda, atauliza.
Sababu maisha ya kawaida miye ni mwaminifu, so vya huku anajua nahave fun tu.
Sema hajakutana na comment zangu za kuflirt atakufwaaaaa
Wa Nini SasaHivi mtakatifu ukwapi jamani
Roho ya iviWeee kweli??? Ushamkua mzunguu kabisa Wewe hata mambo yako ya kizungu zungu lect Bantu Lady achana wa wabongoo nenda zako ulaya mamberee hukoo
Ngozi za Wakurya nzuri sana hadi wakaka. So Wige hutaki kugandana, ili uwe free kutongoza tongoza ama?Mademu wa kikurya
Mna ngozi inayoteleza
Nadhani samli maziwa na kichuri
Ukinipa mbona fresh tu
Ila Mimi kugandana kama brake pads hapana
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Hebu unitafutie namimi engineerWige kwani mpaka uzaliwe naye? Naachaje Tall, white and handsome, richmsafi ile mtanashati, msomi ni Eng wa.... mguu wa mtotoRomantic na zaidi kafa kaoza. Sasa naanza tafuta aina hii naipata wapi tena.
Uelekeo wa gate # 2
Daadake ni anazurura
Hadi vijiwe vya hapo anavijua
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Huwezi ipata popote palee uache bange zakoo na kukaa kwa utulivuuu ππππ!!Wige kwani mpaka uzaliwe naye? Naachaje Tall, white and handsome, rich ππ msafi ile mtanashati, msomi ni Eng wa.... mguu wa mtoto π€£π€£π€£π€£ Romantic na zaidi kafa kaoza. Sasa naanza tafuta aina hii naipata wapi tena. ππππ
Mkipata Eng wa akiba Namie msinisahau pullliiizzzzzzzzzzzzzzz ππππ Bantu LadyHebu unitafutie namimi engineer
My love πππ cocastic Amina na asante. Kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu tuzidi kudumu.
Sasa hii inahusiana vipi lakini msukumaWa Nini Sasa
Kaa kwa kutulia
Si uliniachaga wewe
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Sijawahi kupewa na yeyoteMsukuma baby wako humu nani?
Ahsanteeeeeeeeee!! Tupooo wengiii tunaopendaa kwanza afu helaa baadae.Mimi tena rafiki yangu? Wapi nimeshoboka
Hujanijua mimi napenda mtu anipende, kuliko kunipa hela. Yaani awe Romantic anipendee hata asiponipa hela nitampenda. So hela haiwezi nivuta kwa mtu kamweee
Acha upambe wewe!
Dada taratibuu mambo yakooo, usiijie pupa selfikaaaa.Mjep Mambo nakuona nakuona
Deeeejjjjaayyy ongeza sautiiiii Pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!! ππππππIn Bantu Lady voice πππNgozi za Wakurya nzuri sana hadi wakaka. So Wige hutaki kugandana, ili uwe free kutongoza tongoza ama?
Valentina Amekuuliza babe wako nani humu? Anataka kujiweka...