Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie wakubwaaa aku, napenda watoto wenzangu tyuuh.
Antonnia shougaaa angu mie c unajua taste zangu?? Masharobaroo, yaan watu wenye swaggzzz na uzungu mwingi ama nenee, sasa wakubwa kwan wana wake zao, sitaki heka heka za kujibanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie wakubwaaa aku, napenda watoto wenzangu tyuuh.
Antonnia shougaaa angu mie c unajua taste zangu?? Masharobaroo, yaan watu wenye swaggzzz na uzungu mwingi ama nenee, sasa wakubwa kwan wana wake zao, sitaki heka heka za kujibanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wazee fanya kunipasia hapaaaa 🤣🤣🤣🤣 naenda nao adoo adoo hadi wanafurahiiii wenyewe!😁😁😂 !!
Naelewa fleva zako yanks barobaroooo Jeans mchanikochaniko!
 
Sasa mtu ana mke, eti ooh tufanye siri, usinitafute had nikuanze mie, hatilukutan hadharan wala nn, hatu have fun, yaan n kukutan hotelin au lodge kuzagamuana afu kila mtu apite hivi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na huu ukichaa wangu, mbna ntaharibu dkk 2 tyuuh, sitaki unafiki mie,

Niko real afu najikubaliii sasa, mie mzungu bhanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna jamaa alitaka kuleta usela maviiii nlimfurahishaaa na hatonisahau dadekiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humuu siwawezi shosssss nilivo na damu ya kunguni [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Au ngoja Bantu Lady anipe mwongozo miyeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujanifikiii mie. Ila sasa mie wananichukia hadharan, ila mioyoni na nafsini mwao wana nikubaliii kinomaaa nomaaaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtu ana mke, eti ooh tufanye siri, usinitafute had nikuanze mie, hatilukutan hadharan wala nn, hatu have fun, yaan n kukutan hotelin au lodge kuzagamuana afu kila mtu apite hivi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na huu ukichaa wangu, mbna ntaharibu dkk 2 tyuuh, sitaki unafiki mie,

Niko real afu najikubaliii sasa, mie mzungu bhanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna jamaa alitaka kuleta usela maviiii nlimfurahishaaa na hatonisahau dadekiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Si unakua wa siri naweee full kufichwaaa🤣🤣🤣 madharti mia kidogo 🙌🙌🙌🙌🙌🙌!
Umpigie siku Usiku ili muongee nini😂😂😂!! Unatuliza kiharage chako hadi akutafute🤣🤣🤣 🙌🙌🙌🙌
 
Hao wazee fanya kunipasia hapaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] naenda nao adoo adoo hadi wanafurahiiii wenyewe![emoji16][emoji16][emoji23] !!
Naelewa fleva zako yanks barobaroooo Jeans mchanikochaniko!
Wazeee hapanaa mwsho waanze kuniambia niwe navaa codes za ofisini akati sio fleva angu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wazeee hapanaaa, ngojaaa nikupasieeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si unakua wa siri naweee full kufichwaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] madharti mia kidogo [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!
Umpigie siku Usiku ili muongee nini[emoji23][emoji23][emoji23]!! Unatuliza kiharage chako hadi akutafute[emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasema siweziiiiiiii, mwenzio mie kumpiga dendaa babee angu hadharan sishangai, kumkumbatiaa, kujidekeza na kujishauaaa hizo sio shda zanguuu eti.

Wawezeee wengineee, mie hapanaaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nacheka kama mazuri vile, humu tena au umemiss yale??? 😂😂😂😂😂😂
Kama vipi jilipue tu 🙈🙈🙈
😂😂😂😂Nijilipue wapii?? Saii kila mtu apambane nahali yake tyu no way kule sirudi hata kwa mtutu😁😁😎!
Nipe siri ya kudumu na Mtu humu mi nilishashindwaga kipenzi!!
 
Back
Top Bottom