Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mie wakubwaaa aku, napenda watoto wenzangu tyuuh.
Antonnia shougaaa angu mie c unajua taste zangu?? Masharobaroo, yaan watu wenye swaggzzz na uzungu mwingi ama nenee, sasa wakubwa kwan wana wake zao, sitaki heka heka za kujibanaa,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wazee fanya kunipasia hapaaaa 🤣🤣🤣🤣 naenda nao adoo adoo hadi wanafurahiiii wenyewe!😁😁😂 !!
Naelewa fleva zako yanks barobaroooo Jeans mchanikochaniko!
 
Sasa mtu ana mke, eti ooh tufanye siri, usinitafute had nikuanze mie, hatilukutan hadharan wala nn, hatu have fun, yaan n kukutan hotelin au lodge kuzagamuana afu kila mtu apite hivi.

na huu ukichaa wangu, mbna ntaharibu dkk 2 tyuuh, sitaki unafiki mie,

Niko real afu najikubaliii sasa, mie mzungu bhanaa,

Kuna jamaa alitaka kuleta usela maviiii nlimfurahishaaa na hatonisahau dadekiiii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtu ana mke, eti ooh tufanye siri, usinitafute had nikuanze mie, hatilukutan hadharan wala nn, hatu have fun, yaan n kukutan hotelin au lodge kuzagamuana afu kila mtu apite hivi.

na huu ukichaa wangu, mbna ntaharibu dkk 2 tyuuh, sitaki unafiki mie,

Niko real afu najikubaliii sasa, mie mzungu bhanaa,

Kuna jamaa alitaka kuleta usela maviiii nlimfurahishaaa na hatonisahau dadekiiii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si unakua wa siri naweee full kufichwaaa🤣🤣🤣 madharti mia kidogo 🙌🙌🙌🙌🙌🙌!
Umpigie siku Usiku ili muongee nini😂😂😂!! Unatuliza kiharage chako hadi akutafute🤣🤣🤣 🙌🙌🙌🙌
 
Si unakua wa siri naweee full kufichwaaa madharti mia kidogo !
Umpigie siku Usiku ili muongee nini!! Unatuliza kiharage chako hadi akutafute
nasema siweziiiiiiii, mwenzio mie kumpiga dendaa babee angu hadharan sishangai, kumkumbatiaa, kujidekeza na kujishauaaa hizo sio shda zanguuu eti.

Wawezeee wengineee, mie hapanaaaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nacheka kama mazuri vile, humu tena au umemiss yale??? 😂😂😂😂😂😂
Kama vipi jilipue tu 🙈🙈🙈
😂😂😂😂Nijilipue wapii?? Saii kila mtu apambane nahali yake tyu no way kule sirudi hata kwa mtutu😁😁😎!
Nipe siri ya kudumu na Mtu humu mi nilishashindwaga kipenzi!!
 
Back
Top Bottom