ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,383
- 118,813
Nipo kama hivi mkuu.mbona hatukuoni??
Nipo kama hivi mkuu.mbona hatukuoni??
Jacket tu hiyo,huyo sinaga kitambi



sasa kwani Diamond ni nani?? Yule naye si kaaga kule Tanganyika akaona tunguli zake zimematch na za Nyasa ndiyo maana akakubali
Ukitaka kujua nguvu ya tunguli za Ngonga we jiulize ilikuwaje msanii wenu Diamond Platinumz alishindwaje kwenda kufanya show Mbeya mjini kwenye maghorofa akakubali kuja kule kwetu Ngonga kwenye mashamba ya Mpunga, Kakao na Migomba ? Jibu ni tunguli lilikuwa na nguvu Sana.
Hahahaha, haya bana hongera kwa kua na wadada wazuri wazuri humu JFHahaha sio kweli mkuu..wengi humu ni dada zangu na nawapenda sana dada zangu ..![]()
Za Tanganyika zilizidiwa nguvu. Alipokuja kule kwetu tukamuongezea salio si unaosa nyota yake inayozidi kung'aa maradufu.sasa kwani Diamond ni nani?? Yula naye si kaaga kule Tanganyika akaona tunguli zake zimematch na za Nyasa ndiyo maana akakubali



mmhh inategemea na mdekiji mwenyewe,, unaweza pewa dekio kubwa na ukashindwa kulitumia na unaweza pewa dekio dogo na ukalitumia vizuri kabisa..Ukubwa wa dekio ndio kusafisha sakafu sehemu kubwa zaidi
Nipo kama hivi mkuu.
Haha Babe acha hizo😘Babe umenzidi mie eti
Kule utawakuta,sema wiki hii fujo zimepungua sijui ndo necta![]()
Mdogo wako? Hahaha!!!Usikae sana vichochoroni kusubiri picha tu uwe unatoka kuchangia na mada sawa mdogo wangu??
Emu nioneshe nithibitishe haya madai 🏃🏃Hata mimi tokea nipo mdogo wadada walikua wanasifia lips zangu
Hata girlfriend wangu wa sasa alisema one of the reasons amenitongoza ni lips zangu



aise
Za Tanganyika zilizidiwa nguvu. Alipokuja kule kwetu tukamuongezea salio si unaosa nyota yake inayozidi kung'aa maradufu.



Haha Babe acha hizo
Necta wapi....usikute wako busy na Rehearsal
.#MsimuWaGraduation
Mdogo wako? Hahaha!!!
Unaulamba msimu wa Graduation au umekumbukia siku yako 😀
Nilikuwa shambani shem.Njema tuuu. Weeknd uliikulia wapiii...
Hahahaha, we jamaa ni mbadhilifu na mfujaji, unajilimbikizia totoz zote humu
Siyo kwel kabisa
mmhh inategemea na mdekiji mwenyewe,, unaweza pewa dekio kubwa na ukashindwa kulitumia na unaweza pewa dekio dogo na ukalitumia vizuri kabisa..
Halafu lips nzuri zinaweza kuwa kubwa au ndogo ujue