Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

sasa kwani Diamond ni nani?? Yule naye si kaaga kule Tanganyika akaona tunguli zake zimematch na za Nyasa ndiyo maana akakubali
Ukitaka kujua nguvu ya tunguli za Ngonga we jiulize ilikuwaje msanii wenu Diamond Platinumz alishindwaje kwenda kufanya show Mbeya mjini kwenye maghorofa akakubali kuja kule kwetu Ngonga kwenye mashamba ya Mpunga, Kakao na Migomba ? Jibu ni tunguli lilikuwa na nguvu Sana.
 
Back
Top Bottom