Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Happy New Year chief mzee wa Yolly yolly
Na kwako pia boss tajir wa roho Kipenz cha [mention]sophy27 [/mention] mchepuko wa [mention]cocastic [/mention]
Happy New Year chief mzee wa Yolly yolly
😂😂😂 mkuu nilikuwa samaki samaki, mke wangu katoka kanisani kanipitiq tukarudi homeAsante saana mkuuu.
Jana ulikuwa Kwa mwamposa au lamada???
Samaki samaki Ile ya wavuvi camp??mkuu nilikuwa samaki samaki, mke wangu katoka kanisani kanipitiq tukarudi home
Ameeeeen!!!!Happy New Year guys
Mungu atujalie maisha mema yenye furaha na baraka tele![]()
Duuuh mtafaidii mnooo.Heri ya mwaka mpya. To friends we lost, to friends we’ve gained. 2023View attachment 2465160
Hyo comment ya Wige sijaiona cjui imefichwa, ningempa jibu la kuanza mwakaa 2023. Hata akiambiwaa apunguze ukilopo lopo haelewiiii.Wewe ndo uliniroga na matunguli ya kisukuma mtoto mzuri Alayna akanikimbia![]()
Tena mda ule ule, hakuna kulembaaaaKuna watu mwaka mpya wameshafanya Mapenzi
Happy new year selfika







Karibuni mapinga farm: bagamoyo 😋😋
Na kwako pia boss tajir wa roho Kipenz cha [mention]sophy27 [/mention] mchepuko wa [mention]cocastic [/mention]





huyo shangazi ndo mchepuko, mie Main Chick.Niko njiani, nielekeze final destination.Karibuni mapinga farm: bagamoyo![]()
Asante sana mkuuHappy new year Mjep.
hapana hapo m.city mkuuSamaki samaki Ile ya wavuvi camp??
Thank you my love 😘Same to you brother Mjep.😊😊😊