Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amka mtoto wa kike ufagie hata nyumba.

Kwani hujatumiss? Like huna hamu ya kutuona?
Najua you can't live without us๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›
Mpaka nibless tumbo ndio nifagie


๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hata nyie najua hamuwezi ishi bila mimi
Ref. Maongezi ya saa 8 ucku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kwahiyo tusaidiane, tukutane kati Tanga
 
Mpaka nibless tumbo ndio nifagie


๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ hata nyie najua hamuwezi ishi bila mimi
Ref. Maongezi ya saa 8 ucku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kwahiyo tusaidiane, tukutane kati Tanga
Umetuloga wewe si bure
Maana sio kawaida yetu ile, sisi wagumu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hehehee sawa, kibukta nasisitiza
 
Umetuloga wewe si bure
Maana sio kawaida yetu ile, sisi wagumu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Hehehee sawa, kibukta nasisitiza
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ vibeeeeeessssss


Mbona msisitizo wa kibukta ni mkubwa sana ๐Ÿคฃ
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ vibeeeeeessssss


Mbona msisitizo wa kibukta ni mkubwa sana ๐Ÿคฃ
Hahaha

Nasisitiza ndio
Nimeambiwa nikivaa kibukta napendeza
So nataka nianze mwaka na new fashooon๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Mi nahisi ni wivuu tuu we ni mwanamke mwenye wowowo! Embu nibless na wowowo tuzidi kuwanunisha mama yangu Rumaiya
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ..nakataa Mimi ni mwanaume naitwa juma na ni mume na baba wa watoto ..na mai waifu wangu huyu hapa
 
20221227_111236.jpg
 
Back
Top Bottom