handsomezombie12
Member
- Jun 10, 2022
- 73
- 122
Duh unanitishahaha usiku unaweza ukayaona na usiyoyatarajia ujue.
Usiogope. Kuona mengi ndo kujifunza kwingi pia.Duh unanitisha
sikai muda mrefu .. hadi saa mbili kasoro nageuza.
Hahaha embu punguza emoji hiyo mtoto mlitoakhu mengine hayafai kuona .
nikuonyeshe ya zamani
Asante Sana pia! Mtoto rangi ya nabii yusuphakhu mengine hayafai kuona .
nikuonyeshe ya zamani
Ubarikiwe sana! Shavu dodo rangi ya nabii yusuph!hahha ona hii
nimeweka jioni ya leo
camera tu MkuuAsante Sana pia! Mtoto rangi ya nabii yusuph
likewise hahaUbarikiwe sana! Shavu dodo rangi ya nabii yusuph!
Haha na siku zote pisi kali ni ngumu Sana ku ackwnologe their beuty. humu selfika Naona pisi tu mpo vizuri bana ndomana wengi mmefunga makufuri hamtaki wageni kabisacamera tu Mkuu
yeah humu pisi kali wapo w kutosha ..mie nitoe katika list ...Haha na siku zote pisi kali ni ngumu Sana ku ackwnologe their beuty. humu selfika Naona pisi tu mpo vizuri bana ndomana wengi mmefunga makufuri hamtaki wageni kabisa
Yanaonekanalikewise haha
mashavu ya kudeka haya lol 😅😅
hahhaa 😅Yanaonekana
Itakuwa kazi za sales izo.yeah humu pisi kali wapo w kutosha ..mie nitoe katika list ...
siku naaply kazi nikaulizwa wewe ni pisikali duh nilichoka kabisa ila kazi yenyewe ilihitaji pisi kali .
P
Yana
Itakuwa kazi za sales izo.
Sasa ukatoa jibu gani
Itakuwa alikuwa anatafuta mke.Nope sio ni huko barra beach .
Nikamuambia mie wa kawaida sana .
akaniambie nitume picha whatsapp nikavunga
kazi hizi kuna mmoja alinitukana dah 😅😅Itakuwa kazi za sales izo.
Sasa ukatoa jibu gani
Kisa ninikazi hizi kuna mmoja alinitukana dah 😅😅
Uoga ndo akili ati 😅😅Itakuwa alikuwa anatafuta mke.
Kuna taasisi tuliendaga fanya part time job.
Jamaa mmoja pale head of operation sijui na nini uko mbele akatuambie tumtumie cv zetu maana huwa Kuna kazi zinatokea.
Tulivotuma cv za wa dada zile jamaa akawa anachukua Namba anaweka whatsap akikuta picha nzuri kwa profile anakutext
Dada mmoja alikula shavu kina mna iyo. Na mpaka leo bado Yuko now.
Hahaha siku ingine usiwe muoga ati.