Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

muogeleaje Kama sie mkuu.

Au upepo tu ule ukikuburuza afya ya akili inapata utulivu
napenda kutembea ufukweni tu mie ..

siku nimeenda beach ya white sand huko aisee ni chafu mno .

nilipopapenda ni beach za Ununio tena kule private kama dynasty au hawaii
 
napenda kutembea ufukweni tu mie ..

siku nimeenda beach ya white sand huko aisee ni chafu mno .

nilipopapenda ni beach za Ununio tena kule private kama dynasty au hawaii
mwaka mpya kanizururishe uko ununio!! Napasikia sana

Watu wa mikoani sisi hatuujui mji vizuri
 
mwaka mpya kanizururishe uko ununio!! Napasikia sana

Watu wa mikoani sisi hatuujui mji vizuri
Yeah pazuri na kuna vibe
nimepita jioni hapo Boko chama njia ya kwenda huko pako busy balaa .

Ningekuwa vizuri hata tungeenda .
january inaanza weekend haha jau
 
Yeah pazuri na kuna vibe
nimepita jioni hapo Boko chama njia ya kwenda huko pako busy balaa .

Ningekuwa vizuri hata kesho tungeenda .
Kumbe unaweza pitia apo magengeni;

mtoto wa kishua wewe! Haha unaanzaje anzaje kutokuwa vizuri.
 
Back
Top Bottom