Naona na mafuta pia yanachangia.
Mimi nilibadili mafuta, naona pia ni sababu mikono ikaharibika.
Niliyokuuwa napaka yalikuwa hayataki kukaa juani.. nilivyokuja mjini nikawa napiga misele.
Uzuri hizi domati haziishi haraka,tofauti na zile za dukani special
Kuna ndugu yangu nilienda kumsalimia,analo hadi leo nikimteengenezea mwaka 2015.
Angalau vitano.
Siri ya hivi vidude, ukianza hapa kimoja basi kimalize chote
usikilaze.
Na msumari Kuna namna ukiutengeza Vizuri hauumizi.
Mimi hivi nilitengeneza wiki tu .. kila siku kimoja.
View attachment 2458626
Sent from my TECNO CG6 using
JamiiForums mobile app