Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,463
- 7,072
Yeah ujakosea mkuu!!Hii ni South bila shaka kiongozi
Yeah ujakosea mkuu!!Hii ni South bila shaka kiongozi
Uko eneo la tukio?
Nikipata tena mwaliko nitawaomba nipige picha vizuri
Saivi nisharudi uswazi kwetu




haya bhana dada mzuriii.
Bantu Lady tupo tunasubiri ahadi yko na kulingana na tetesi nasikia we bantu haswaa! 🥰Hello humu, hamjambo panapo uzima tarehe ya mwisho ya mwaka, huu nitakuja na picha 🤣🤣🤣🤣 sema jinsi ya kutuma ndiyo shida sijui vinakuja vitu gani. Nawapenda 💋
View attachment 2458122
Mkuu wa shule Yuko paleeee anasubiria January tukapambane nae...nimemsikiliza Mzee mwenzangu Watu8 kasema nichomoe kwenye ada nimwagilie moyo kwamba elimu Haina mwisho.
Jina lako linatisha Mkuu. Uliwaza nini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bantu Lady tupo tunasubiri ahadi yko na kulingana na tetesi nasikia we bantu haswaa! 🥰
Apiaa Mnyonya MbususuBantu Lady tupo tunasubiri ahadi yko na kulingana na tetesi nasikia we bantu haswaa!![]()
Hicho ni kilugha maana yake kulamba asali Bantu Lady ni kama ukienda uchagani kuna ukoo unaitwa mboro! Na ndizi mbivu wanaziita maku*duu! 😂Jina lako linatisha Mkuu. Uliwaza nini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe sasa nimeelewa. Haya tuombe uzima. Sasa nifundishe jinsi ya kuweka picha. Kuna siku niliahidi vizuri, nikaweka ila ikatokea namba sijui aaah hata sielewiHicho ni kilugha maana yake kulamba asali Bantu Lady ni kama ukienda uchagani kuna ukoo unaitwa mboro! Na ndizi mbivu wanaziita maku*duu! 😂
Huyu Bantu Lady ni shidaa nyingine aisee mi kuna mdau aliniambia ni pisi balaa ukiiona huyo Saint Anne utamuacha dakika 0
Nani huyo nikamsute, maana naojuana nao nje ya JF wote nawajua. 😀😀😀😀Huyu Bantu Lady ni shidaa nyingine aisee mi kuna mdau aliniambia ni pisi balaa ukiiona huyo Saint Anne utamuacha dakika 0
Hapa ndio penyewe na vocha utakuwa unapata za bure maana hela zangu hazina kazi 🥰.Kumbe sasa nimeelewa. Haya tuombe uzima. Sasa nifundishe jinsi ya kuweka picha. Kuna siku niliahidi vizuri, nikaweka ila ikatokea namba sijui aaah hata sielewi
Weee siyo Tekno bana muone. Ndiyo maana mnyonya mbususu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapa ndio penyewe na vocha utakuwa unapata za bure maana hela zangu hazina kazi 🥰.
Wigelekelo hebu toa maelezo chap namna ya ku-upload picha kwa watumiaji wa tekno.