Antonnia kasasambuliwa furniture zote ndani kakuta chumba empty! Ila ripoti za awali zinasema kumbe alikuwa anadaiwa marejesho na ukizingatia mwisho wa mwaka huu watu wanataka vunja vikoba wagawane chao!
Hiyo ni code na hapo si kashajua mjeda katoka sudan ana fungu la hela hivyo anasema kaibiwa ili anunuliwe furniture mupyaaa! Mjeda kapeleleza kagundua vitu viko ukobani, hivyo ameambiwa boss lady anadaiwa 3ml alikopa kwaajili ya biashara ya ubuyu, kashata na visheti kuwauzia wanafunzi. Ila wanafunzi wakamzidi ujanja akafilisika.
Yaani ulivyo born town tena mkaguru wa morogoro ni ngumu kuamini kama wamepita navyo. Bado tunaendelea kuchunguza mikopo yako uliyokopa kwanzia nyonya damu mpaka kausha damu!
Mbona vilikuja virikuu viwili na maturumbeta kwa mujibu wa mashuhuda!
Na pia tumebaini unadaiwa saccos, braki, nyonya damu na benki nmb.
Na pia pale dukani kwa muha unadaiwa vijora viwili ulivyomtumia cocastic kwenye kitchen party yke!