Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,304
Ni Kule Kazini nakokaa mjomba!!Umehama kambini 🤕🤕
Ni Kule Kazini nakokaa mjomba!!Umehama kambini 🤕🤕
leo utaogea nini 😁Niliogea asali
😁😁😁😁 sophy27 ni 🔥🔥🔥🔥 lips zile sijui kama unatoka ndaniHahaha mkuu niko na sophy hapa😀😀
Yaniii Sikukuu yote imekua chungu nakwambia Nilipanga kujilipua kama Beyonce leo afu nipite nakeddddddd kweri kweri hakii wameniweza!Mbona vilikuja virikuu viwili na maturumbeta kwa mujibu wa mashuhuda!
Na pia tumebaini unadaiwa saccos, braki, nyonya damu na benki nmb.
Na pia pale dukani kwa muha unadaiwa vijora viwili ulivyomtumia cocastic kwenye kitchen party yke!
Ndio nayeyusha hapa pipi za ivory ijae ndoo nioge🥰leo utaogea nini 😁
Majirani zako wamefeli sana.Wezi wamevunja mlango wamesaula kila kitu wameenda kunihifadhia banaa!
Pole BLNishapoa ivoivo mjomba!! Ussshhhhuuuuunggguuuuuu!!!
Unakunywa hakuna kulalaNiko kwa jirani hapa, kanipa mwalikoView attachment 2457990


Weeeeeee Hio ni Given Wigeee tennnaah😎☺️Pole BL
Sasa kutokana na hiyo kadhia
Ndio kusema leo mjeda hapewi naniliu?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Asante mkuu!!Majirani zako wamefeli sana.
Pole Sana Mimi pia iliwahi nitokea enzi hizo maeneo ya mwananyamala
National AnthemNational Anthem nakupa taarifa tu, kesho naenda kula pilau la mdigo, nitakula pilau kabla ya kula PILAU😀😀😀🤣🤣
Huwa watu wanaachana siku kama hizi, ila wewe ni haiwezekani 🤣National Anthem
I love you.