National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
jana ulikuwa mtamu sana, ulifanyaje 😍😍Me niko bomba kabisa best.
Kheri ya sikukuu na kwako pia🎄
jana ulikuwa mtamu sana, ulifanyaje 😍😍Me niko bomba kabisa best.
Kheri ya sikukuu na kwako pia🎄
☺️😊!! Nilisafiri vicoba vyote tulikua tushavunja PokerYaani ulivyo born town tena mkaguru wa morogoro ni ngumu kuamini kama wamepita navyo. Bado tunaendelea kuchunguza mikopo yako uliyokopa kwanzia nyonya damu mpaka kausha damu! 😂 Tujue nani ndio amebeba!
Boss lady wetu kaibiwa tuko kwenye msiba wa kiselfika selfika! Tunaomba ushirikiano wako mkuu National Anthem kesi ipo mezani kwangu mimi ndio mpelelezi wake!sinagA bahati humu 😊😊
Msiwaze kabisaaa kila kitu kitakua sawa! Muhimu Uzima tu!Boss lady wetu kaibiwa tuko kwenye msiba wa kiselfika selfika! Tunaomba ushirikiano wako mkuu National Anthem kesi ipo mezani kwangu mimi ndio mpelelezi wake!
Asante sana Brother, na kwako piaMerry Christmas to Antonnia and family!
Merry Christmas to cocastic and family!
Merry Christmas to Tinsley
Merry Christmas to Lenie
Merry Christmas to National Anthem
Merry Christmas to Wigelekelo
Merry Christmas to Carleen
Merry Christmas to Carrasco putin
Merry Christmas to Saint Anne
Merry Christmas to Lovelovie
I wish you and your beloved ones a happy Christmas! ⛄🎄
😂😂National Anthem nakupa taarifa tu, kesho naenda kula pilau la mdigo, nitakula pilau kabla ya kula PILAU😀😀😀🤣🤣
ebu nisome hilo jarada , au fanya utaratibu tufanye mchakato, kikosi kazi kiendeBoss lady wetu kaibiwa tuko kwenye msiba wa kiselfika selfika! Tunaomba ushirikiano wako mkuu National Anthem kesi ipo mezani kwangu mimi ndio mpelelezi wake!
Kwani unadhani hatujui una House girl na anatumia mtandao wa Airtel? Na bado yule mbwa wako German shepherd? Upelelezi unaendelea Antonnia na tunajua mjeda ana milioni 70 benki! 🥰☺️😊!! Nilisafiri vicoba vyote tulikua tushavunja Poker
Nacheka kwa masikitiko hapa ujue!
Nishapoa ivoivo mjomba!! Ussshhhhuuuuunggguuuuuu!!!ebu nisome hilo jarada , au fanya utaratibu tufanye mchakato, kikosi kazi kiende
imekuwaje Shangazi wangu mrembo 😔😔Nishapoa ivoivo mjomba!! Ussshhhhuuuuunggguuuuuu!!!
HG nae alienda Kwao kula sikukuu Poker Nacheka kama mazuri vilee sina hamuuuuu!!Kwani unadhani hatujui una House girl na anatumia mtandao wa Airtel? Na bado yule mbwa wako German shepherd? Upelelezi unaendelea Antonnia na tunajua mjeda ana milioni 70 benki! 🥰
Wezi wamevunja mlango wamesaula kila kitu wameenda kunihifadhia banaa!imekuwaje Shangazi wangu mrembo 😔😔
Umehama kambini 🤕🤕Wezi wamevunja mlango wamesaula kila kitu wameenda kunihifadhia banaa!
Niko kwa jirani hapa, kanipa mwaliko
Kwani wewe umeacha lini kufaidi, mmefungiana huko unakuja kunizuga hapa😃😃Una raha kweli mzee😊😊😊 unafaidi sana mzeee..
Mbona vilikuja virikuu viwili na maturumbeta kwa mujibu wa mashuhuda!HG nae alienda Kwao kula sikukuu Poker Nacheka kama mazuri vilee sina hamuuuuu!!
Niliogea asalijana ulikuwa mtamu sana, ulifanyaje 😍😍
ka Pellaiah kananogaaaaaa 😁😁😁Kwani wewe umeacha lini kufaidi, mmefungiana huko unakuja kunizuga hapa😃😃