Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Aya ya kwanza ni sawahapana
ni matamanio ya kupata kitu .
na hutulii hadi ukipate .
its common kwa ke .
food cravings zinatokea kutokana a hormones .. unaweza jikuta una crave kitu spicy and salty or muda mwingine ukatamani vitu vitamu (sweets)
au sometimes utamani vichachu
Aya ya karibu na mwisho
Na hiyo ya mwisho ni sawa
Tatizo Aya ya kati
Kwani lazima iwe food cravings
Na sio niaje niaje cravings
Ili kuweza kupata hizo
Sweets na bittersweet?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app



