Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hapana
ni matamanio ya kupata kitu .
na hutulii hadi ukipate .
its common kwa ke .

food cravings zinatokea kutokana a hormones .. unaweza jikuta una crave kitu spicy and salty or muda mwingine ukatamani vitu vitamu (sweets)
au sometimes utamani vichachu
Aya ya kwanza ni sawa

Aya ya karibu na mwisho

Na hiyo ya mwisho ni sawa

Tatizo Aya ya kati

Kwani lazima iwe food cravings

Na sio niaje niaje cravings

Ili kuweza kupata hizo

Sweets na bittersweet?



Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Aya ya kwanza ni sawa

Aya ya karibu na mwisho

Na hiyo ya mwisho ni sawa

Tatizo Aya ya kati

Kwani lazima iwe food cravings

Na sio niaje niaje cravings

Ili kuweza kupata hizo

Sweets na bittersweet?



Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
hahhaa aisee
kuna ka hormone kanadrop basi mwili ndo unatamani mambo .

umspoil Anna wige
 
Nilikuona

Nikamwambia tukupotezee

Maana kanuna huyo

Ile juzi ulivyonipa asali yako

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
umenichekesha, leo kuna mdada acha akazane ananifahamu hajanifananishaaa.

Mwenzangu ana muambia huyu sio yeye, yeye kakazana ni mie maraa oooh ko umekuja Dar ndo unajifanya hunijui.

Nilichokaaa wallah, yaan afu hii ya 2, ndo maana sometimes huwa sipendi kutembea mda wte kufananishwaaa ukute hata sio, wana. amuagaa kunichoraaa. Naborekaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahhaa aisee
kuna ka hormone kanadrop basi mwili ndo unatamani mambo .

umspoil Anna wige
Si uliona alipost bahari na meli Kwa mbali?

Huu ujauzito wake unanisumbua sana

Imajini Leo alikuwa anataka harufu ya bahari

Then akataka harufu ya misosi ya mlimani city

Tumepanda mwendokasi naambiwa ninyanyue kwapa anuse

Ni kuvumilia tu

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
umenichekesha, leo kuna mdada acha akazane ananifahamu hajanifananishaaa.

Mwenzangu ana muambia huyu sio yeye, yeye kakazana ni mie maraa oooh ko umekuja Dar ndo unajifanya hunijui.

Nilichokaaa wallah, yaan afu hii ya 2, ndo maana sometimes huwa sipendi kutembea mda wte kufananishwaaa ukute hata sio, wana. amuagaa kunichoraaa. Naborekaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba zake nimkanye

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
umenichekesha, leo kuna mdada acha akazane ananifahamu hajanifananishaaa.

Mwenzangu ana muambia huyu sio yeye, yeye kakazana ni mie maraa oooh ko umekuja Dar ndo unajifanya hunijui.

Nilichokaaa wallah, yaan afu hii ya 2, ndo maana sometimes huwa sipendi kutembea mda wte kufananishwaaa ukute hata sio, wana. amuagaa kunichoraaa. Naborekaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahah pole
its has been a while sijafananishwa
unajiuliza umefanana na wangapi
 
Si uliona alipost bahari na meli Kwa mbali?

Huu ujauzito wake unanisumbua sana

Imajini Leo alikuwa anataka harufu ya bahari

Then akataka harufu ya misosi ya mlimani city

Tumepanda mwendokasi naambiwa ninyanyue kwapa anuse

Ni kuvumilia tu

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
haha pole sana aseee
yatakwisha tu jamani
ni first trimester au ?
 
hahah pole
its has been a while sijafananishwa
unajiuliza umefanana na wangapi
Ndo nachokaaa hapooo tyuuh, afu sasa wote wadada, yule wa kwanza alisema walisoma wote Makongo sec, akat mie hapo Makongo hata Getini sijawahi kanyaga,

Huyu wa leo anasema alisoma nae primary huko Tanga, akat mie Tanga nilienda baada ya 4m 6, na nliishia pale Kabuku Mgambo JKT.

Najiulizaga nimefanana na wangapi? Wenginee utaskia wee si mtu wa kanda ya juu kusini unadanganyaa, mbna uko km mtu wa kanda ya kati.

N tafrani tyuuh.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom