Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ladies take note. Ukiona anachelewesha mambo, jichukulie sheria mkononi...Muda wa kusubiri uchumba miaka miwili+ mtu anakukula na kukupakua apendavyo wakati hujui status yako kwake haupo!
Screenshot_20221219-104247.jpg
 
Okay , asante sana
Huu mchezo wa mahusiano ni wa kijinga .
Wengine hata hawateseki chap tu wanafunga ndoa na childhood sweetheart .
Hayanaga mwongozo na hakuna fomyula mjukuu. Ndo maana akina Shilole wanaolewa kila leo na kuna wengine hakuna kitu....maisha yako hivyo. Kila mtu na safari yake ndiyo maana tunashauriwa sana kutoiga mambo ya wengine au kujilinganisha nao!
 
Back
Top Bottom