Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Msisahu kuna majira ya ukame na ya kutengwa kwa nyakati. haya mambo ni complex haya kanuni maalumu, kuna watu wanaachana wakirudiana inakuwa bora zaidi, kuna Harmonize na Kajala sample.. kuna sample nyingi ambazo hazina conclusion kwamba lazima iwe hivyo.. mwanamke wangu tuliachana miaka miwili kila mtu akawa na life lake tukajikuta tumerudiana tu.. na ikawa bora zaidi ya awali haya mambo ni rahisi sana kama una akili timamu.. mbona mie Depal alinitenda alafu silii lii humu 🤣🤣🤣 nakaza
Endelea kukaza mwanangu 😂😂
 
Msisahu kuna majira ya ukame na ya kutengwa kwa nyakati. haya mambo ni complex haya kanuni maalumu, kuna watu wanaachana wakirudiana inakuwa bora zaidi, kuna Harmonize na Kajala sample.. kuna sample nyingi ambazo hazina conclusion kwamba lazima iwe hivyo.. mwanamke wangu tuliachana miaka miwili kila mtu akawa na life lake tukajikuta tumerudiana tu.. na ikawa bora zaidi ya awali haya mambo ni rahisi sana kama una akili timamu.. mbona mie Depal alinitenda alafu silii lii humu nakaza

Ndiyo maana nilisema wengi sio wote. I didn't generalise. There is always an exception.

Plus amerudi na nini haswa cha kukufanya uone kweli huyu mtu amejifunza kitu huko nje na anamaanisha kweli? Sio mbambamba zilezile za zamani afu anajifanya ooh wewe ndiyo mke wangu, nimerudi. Maana na sisi ukiitwa tu "mke wangu" unajiona tayari mbele za baba Paroko. Utalia tena kama Kajala
 
Kuna Kajala na Harmonize type.. kuna wengine mnachana ili akapate elimu alafu Mungu anaruhusu arudi baada ya kuwa ameiva, sasa ukishindwa papambanua hapo ndio unapoteza mtu wa hatma yako na kuna wengine shetana anawatuma kuja kukujaribu tena, wengine anatafuta kivuli tu cha kupunga upepo.. mambo haya ni tafrani
Eti akiiva!
Akwende

Huo upumbavu sifanyi maishani.
Ukiniacha usijisumbue kwa Chochote,unanijulia hali ili ikusaidie nini?
Upumbavu tu

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo maana nilisema wengi sio wote. I didn't generalise. There is always an exception.

Plus amerudi na nini haswa cha kukufanya uone kweli huyu mtu amejifunza kitu huko nje na anamaanisha kweli? Sio mbambamba zilezile za zamani afu anajifanya ooh wewe ndiyo mke wangu, nimerudi. Manaa na sisi ukiitwa tu "mke wangu" unajiona tayari mbele za baba Paroko. Utalia tena kama Kajala
Hapo unawaambia nini hawa wadogo.. maana hayana formula .. isipokuwa kuna ishara
 
Back
Top Bottom