Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Thank you sis
Time heals. Forgive him and forgive yourself. Usijilaumu sana; watu wengine huwa wanapita kwenye maisha yetu kutufundisha tu vitu fulani; he served his purpose well; let him go in peace. Don't curse him, don't wish bad/ evil on him. Usikate tamaa ya kupenda; kuna siku utampenda atakayekupenda. You are what you choose to become; not what has happened to you; don't dwell in your past please.

There are plenty of good men out there; you shall bag your's one day. Even if he won't apologise to you; forgive him for your peace of mind; don't wait for his apology; some people's consciences are dead.

Hey it's never wrong to love a person genuinely. As long as you loved him truly and your intentions were pure; you haven't lost anything darling. Hold your head up
 
Ndiyo maana nilisema wengi sio wote. I didn't generalise. There is always an exception.

Plus amerudi na nini haswa cha kukufanya uone kweli huyu mtu amejifunza kitu huko nje na anamaanisha kweli? Sio mbambamba zilezile za zamani afu anajifanya ooh wewe ndiyo mke wangu, nimerudi. Manaa na sisi ukiitwa tu "mke wangu" unajiona tayari mbele za baba Paroko. Utalia tena kama Kajala


Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
IMG-20221216-WA0002.jpg
 
Hapo unawaambia nini hawa wadogo.. maana hayana formula .. isipokuwa kuna ishara
Eeh wawe makini; sio kila anayesema amerudi kwako anamaanisha. Kuna wale unakuta amekuacha afu kaenda kuoa kwingine. Mara anaanza kukutafuta anajifanya anajutia kwa nini hakukuoa; ndoa yake ina changamoto nyenyenye. Wewe kwa ujinga wako unahisi eeh kweli ananipenda jamani, amerudi; unajidowngrade kutoka ex main chick to mchepuko. Ukija kushtuka manyoyaaa, mwenzio anasherehekea anniversaries zake na familia yake
 
Eeh wawe makini; sio kila anayesema amerudi kwako anamaanisha. Kuna wale unakuta amekuacha afu kaenda kuoa kwingine. Mara anaanza kukutafuta anajifanya anajutia kwa nini hakukuoa; ndoa yake ina changamoto nyenyenye. Wewe kwa ujinga wako unahisi eeh kweli ananipenda jamani, amerudi; unajidowngrade kutoka ex main chick to mchepuko. Ukija kushtuka manyoyaaa, mwenzio anasherehekea anniversaries zake na familia yake
kwa sehemu kubwa misingi mibovu. Pia watu sio wawazi, watu siku hizi viburi sio wasikilizaji wajuaji ..
 
Back
Top Bottom