Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eti eehh!! sawasawa!! nilikua sijui!!

Sasa mtu anasema alikuacha si aachane nawewe mazima Kwanini anakusumbua sumbuaa ??? Mtu anaonesha kujutia kabisa ilhali ishapita miaka kibao all these years wee umekaa tyu kwa ubaya ganii?? Kuna watu ni hawajielewi!

Afu mtu yeye ndio anakusumbua anenda kugeuza kibao etu wewe ndie unamsumbuaa khaaahh ni upuuzi!
Umenichekesha huku jamani

Wengi hata huwa hawamaanishi; anakuja kupima tu kama anaweza kupasha kiporo or not. Utaona kabisa amerudi; ila hana jipya la maana

Plus mtu aliyekuacha akaenda huko kwingine ndiyo akaamue akurudie; inawezekana wala hata hajajifunza lolote; anatafuta tu pa kukimbilia kwa muda na wewe ndiyo boya wake; possibly kakosa kwingine pa kukimbilia. Kwa nini asirudi kwako akiwa bado hajatendwa huko nje? Ni kama wale tu wanaume wanaowakimbiaga wake zao mambo yakiwa mazuri; anakuja kurudi uzeeni amechoka, apeche alolo. Utasema amerudi kwa mkewe kwa sababu amegundua makosa yake na bado anampenda?
 
Umenichekesha huku jamani

Wengi hata huwa hawamaanishi; anakuja kupima tu kama anaweza kupasha kiporo or not. Utaona kabisa amerudi; ila hana jipya la maana

Plus mtu aliyekuacha akaenda huko kwingine ndiyo akaamue akurudie; inawezekana wala hata hajajifunza lolote; anatafuta tu pa kukimbilia kwa muda na wewe ndiyo boya wake; possibly kakosa kwingine pa kukimbilia. Kwa nini asirudi kwako akiwa bado hajatendwa huko nje? Ni kama wale tu wanaume wanaowakimbiaga wake zao mambo yakiwa mazuri; anakuja kurudi uzeeni amechoka, apeche alolo. Utasema amerudi kwa mkewe kwa sababu amegundua makosa yake na bado anampenda?
Hakika haukua mama mchungaji kwa bahati mbaya 😍

Asante, mwenye masikio na asikie....
 
Umenichekesha huku jamani

Wengi hata huwa hawamaanishi; anakuja kupima tu kama anaweza kupasha kiporo or not. Utaona kabisa amerudi; ila hana jipya la maana

Plus mtu aliyekuacha akaenda huko kwingine ndiyo akaamue akurudie; inawezekana wala hata hajajifunza lolote; anatafuta tu pa kukimbilia kwa muda na wewe ndiyo boya wake; possibly kakosa kwingine pa kukimbilia. Kwa nini asirudi kwako akiwa bado hajatendwa huko nje? Ni kama wale tu wanaume wanaowakimbiaga wake zao mambo yakiwa mazuri; anakuja kurudi uzeeni amechoka, apeche alolo. Utasema amerudi kwa mkewe kwa sababu amegundua makosa yake na bado anampenda?
Asante kwa kukaziaaaa
mama pastaaa!
 
Back
Top Bottom