Chizi sana Dogo
Malipo ni hapahapa duniani.
Ila ili yafanye kazi,lazima usijichoshe Kwa namna yoyote ile kulipa.
Mwachie Mungu alipe.
Yaani kama alimuumiza mtoto wa watu bila sababu aisee atalipwa tu.
Mungu ni wa haki.
Sent from my TECNO CG6 using
JamiiForums mobile app