Darcyy
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,432
- 9,756
Uko sehemu gani sasa. Mbona sikuoni?Nimekumbuka
Tuna miadi..
Uko sehemu gani sasa. Mbona sikuoni?Nimekumbuka
Tuna miadi..
yani waja sio poaUkiwa kipipa hiyo ni noma zaidi. Ukishindwa kutembea, Hadi njiani watatusema. Wabongo sisi ni hatuna jema![]()
Mie huwa sipendi kuvaa blauzi za kubana sanaaamie navaa hiyo hiyo , Nikiwa na kitambi mtu anahisi mie mama K.
Kabisa dear furaha ya nafsiii..sasa upo na mtu Unaona kabisaaa... hakufurahiii...! Yaniniii kufa kwa preshaa!!well said
furaha ni muhimu kuliko chochote
Ukiwa na kitambi kuvaa ya kubana noumaaa sanaa inakuchorajee!!Mie huwa sipendi kuvaa blauzi za kubana sanaaa
Ndiyo inachora. Ukishiba ndo kabisaaUkiwa na kitambi kuvaa ya kubana noumaaa sanaa inakuchorajee!!
Inachora NiniUkiwa na kitambi kuvaa ya kubana noumaaa sanaa inakuchorajee!!


Na anajiamini balaa, nampendaWasi wasi wenu tu dadake
Yule love bonge wa juakali
Mbona yupo fresh tu
Unamuacha tu, Tena kimya kimya. Akija kugundua kuwa ameachwa sio LeoKabisa dear furaha ya nafsiii..sasa upo na mtu Unaona kabisaaa... hakufurahiii...! Yaniniii kufa kwa preshaa!!


Lol ukute ulikua ushaachwa wewe kitambooo🤣🤣🤣🤣! Mapenzi Nyokoo sana🤣!Unamuacha tu, Tena kimya kimya. Akija kugundua kuwa ameachwa sio Leo![]()
Hahaha kama ndo unatembea. Watakutazama mwanzo wa uchochoro mpk mwsho wa uchochoro.yani waja sio poa
wakikuona tu hawaishiwi maneno
mmhh umezaa kwani
ukisema bado , wanabaki mmh .
Ulipanga kumsapraizi unajikuta unajisapraiz mwenyewe nyieeeee 🤣🤣🤣Lol ukute ulikua ushaachwa wewe bila kujua🤣🤣🤣🤣! Mapenzi Nyokoo sana🤣!
Lol ukute ulikua ushaachwa wewe kitambooo! Mapenzi Nyokoo sana
!



iyo ipoooo. Mapenzi konyo. Tupo mawindoniUmeona eehNa anajiamini balaa, nampenda
Kavae
binadamu ndo walivyoUtatolewa mfano kila kona
Watu wanapenda kufatiliana maisha sana
Fundi yyt mzuri haijawahi tokea akajisifuHapo Inapendeza sana weeee usiamini ni Kamera tu mkuu na filter !
Nyie nyieeeeUlipanga kumsapraizi unajikuta unajisapraiz mwenyewe nyieeeee![]()


. Lkn ni Bora umuache kimya. Kuliko kumwambia sikutaki. Kumbe uliachwa zamaniiiii. Unashangaa unasema sikutaki. Halafu mwenzio anakujibu "ok". Na me nitaanza kuvaa short, sitajali vigimbiUmeona eeh
Hayo ndio maisha Sasa
Halafu jimwili lile anavaa short
Weee inauma sanaNyie nyieeee. Lkn ni Bora umuache kimya. Kuliko kumwambia sikutaki. Kumbe uliachwa zamaniiiii. Unashangaa unasema sikutaki. Halafu mwenzio anakujibu "ok".
Hakutafutiiiiiii kwa bembelezo