Sasa mimi niteseke kwa sababu yako? we ndio hujiamini, usizungumzie nafsi yangu, kwa maisha nilioishi/ninayoishi nije niteseke kisa wewe? are you serious? mi nimekuuliza tu maswali ya kawaida ambayo yanahitaji majibu, mambo ya mimi kuteseka yanaingiaje mwanaume mwenzangu unaetaka kuolewa?