Selfika na JF: Snap it. Show it

Unateseka na unaniwazaa mda woteeee, kwann hujiuliziii ushawahi ona mie nakushobokea wee? Kuku quote? Kureply comments zako?

Ila wee sasa usione nime comment ushafika ku reply, mara unitajee, uni quote, sometimes unakuta huusiki tayar ushajichomeka nawee umo, vipi una kwamaa wapiiiii?

Ngoja nikupe kavu sasa, walikua wenzio hapa, sio wee tena makundi kwa makundi na sio hapa selfika tyuuh ni majukwaa karibu yote, ila walishindwa wao,

Jf nzima inajua mie ni shoga, wapo wanao amini, wapo wasio amini, hilo suala langu kuwaaminisha. Kila mtu aamini anachoona kwake ni sawaaa.

Kwa kifupi acha shoboooo kwanguuuuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…