Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20221129_131330_764.jpg

Kuelekea siku ya Ukimwi Duniani (1st December), Wazee tunatakiwa kuongoza kwa mfano.

Hapo nimebakiza kupima Presha na Kisukari, manake kwa Umri wetu huwa vinasumbua Sana 💪

Happy in advance HIV/AIDS day.
 
View attachment 2430732
Kuelekea siku ya Ukimwi Duniani (1st December), Wazee tunatakiwa kuongoza kwa mfano.

Hapo nimebakiza kupima Presha na Kisukari, manake kwa Umri wetu huwa vinasumbua Sana 💪

Happy in advance HIV/AIDS day.
Hongera sana babu

Vijana hawawezi kufanya hizi mambo maana wanaogopa venye hawajiamini wana mambo mengi.
 
To be the honest, mtu niliye match nae umri nilidate nae nikiwa O level,
Baada ya hapo wote nilowahi kuwa nao, walianzia hapa 25 - 35..

At least sahv ndo huyu genius ana 23.

Sijui nimbwage nae lol
23 si ndo mpo sawa au kakuzidi ngapi hapo😜👋👋
 
To be the honest, mtu niliye match nae umri nilidate nae nikiwa O level,
Baada ya hapo wote nilowahi kuwa nao, walianzia hapa 25 - 35..

At least sahv ndo huyu genius ana 23.

Sijui nimbwage nae lol
23 bado anajitafuta huyo, ana safari ndefu sanaaa.

Temana naye tafuta kibabu chako kimoja ule pensheni kiroho safi.
 
View attachment 2430732
Kuelekea siku ya Ukimwi Duniani (1st December), Wazee tunatakiwa kuongoza kwa mfano.

Hapo nimebakiza kupima Presha na Kisukari, manake kwa Umri wetu huwa vinasumbua Sana 💪

Happy in advance HIV/AIDS day.
Lol safi sana granpa😍😍😍😍😍!!
Hongera kwa kujitunzaaaa 👏👏👏👏👏!
Mungu akuepushie nahayo magonjwa yasiyoambukizwa granny live longer 😘!! Haya Wigelekelo Poor Brain Vijana igeni mfanooo huuuu
 
Hamna watu romantic kama wazee, wanajua kubembeleza hatari.
Wewe ulikua ni muoga ndio maana feelings zikapotea.

Af si unaona alikuelewa, imagine wangekua ni hutu tuvijana tusharobaro mshaingia eneo la tukio unamwambia hauko sawa unafikiri angekuelewa?
Kwanza hapo hela yenyewe ya hoteli kakopa kwa washkaji zake af umwambie hali mzigo weee ungeelewa mziki mbona.

Wazee oyeeeeee🥰🥰
😂😂😂😂😂 nimekumbuka story yako moja, nimekaa kwanza nachekaa
 
Back
Top Bottom