Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,952
tu me manques aussi souer😊😊😊
tu me manques aussi souer😊😊😊
BLMiss you sana Ngosha! Kimya sana humu!!
Bila shaka uko vyedi!




AlishanikataaAlipiga trauza moja jeans matraaatraaaaa sanaaaa...Mihips ni ilichomozaaaaaa Kiuno sasa awwwwwwwwwww!!!kwako mrs wige Saint Anne
kasema miss you too sis!😜Shemeji
Ndio umesemaje hapo
Anakukubali mnoooo huyo!! Ajichetua tuAlishanikataa
Tumpe heshima na chaguzi zake
Yakimpata huko bahati mbaya
Atarejea huku ahueni
Ndipo hapo atajua hajui
Niko vyedi sana Mr AnneBL
Mzima wewe
Muda kidogo niliadimika
Sasa nimerejea![]()
Nafurahi kukuona tena aisee!!Nipo likizo kidgo😥😜😜😜😜 antu... Ila sio mda ntakuepoWapi Ziro Brain!!!! Poor Brain nini mbaya mr T?
Nyoooo... Niache ukoSwali gani hilo
Siku hizi umeenda kuwaje
Naingia mjini siku chache hizi
Andaa mazingira bhas![]()
😂😂😂Tusiharibiane sikuView attachment 2429675
Asante nkamu. Mimi nipo. Uko poa wewe? Endelea kubarikiwa nkamu

Nkamu bana.Asante nkamu
Nimekumiss pia
Shimba ya Buyenze namimi sijamuona humu siku kadhaa ila naamini yumo
Mkuu Shimba ya Buyenze popote ulipo mkuu wahi huku nkamu wangu amekumiss anakutafuta



Endelea kubarikiwa braza. You are a blessing to many 


Ūlūgīkī ūsika mjini nitūlīlage dūhoye nkoyi.Alishanikataa
Tumpe heshima na chaguzi zake
Yakimpata huko bahati mbaya
Atarejea huku ahueni
Ndipo hapo atajua hajui



☺️☺️☺️☺️ Marahabaa shangaziPoker National Anthem Shikamooonii !!✋
Hio likizo since when who which!!!!!!!!Nipo likizo kidgo😥😜😜😜😜 antu... Ila sio mda ntakuepo
Bless Jioni yangu mjombaa pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Sijakuona kitambo sana mjomba!☺️☺️☺️☺️ Marahabaa shangazi
"I miss you too sister"..Shemeji
Ndio umesemaje hapo
😅😅😅😅 Kuna siku tulikuwa field milimani, na wanataka tukague kila point.. ohooo miguuu ikaanza tetema kama mayele, nikawaambi mwisho wangu hapa sipandi.. na hamnipeleki popote mbona waliishia nilipo ishia, maana mwenye majibu nilikuwa mie ya sehemu wanazo kaguaMazoezi anayofanya dogo hapo wewe kutoboa ni vigumu kaka yangu mwenye mwili wake wa mapenzi😆😆😆